Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Huyu mtoto anaonekana amedekezwa na anadeka mno. He is an easy target to bullying because he's overly pampered by his mom and also because of his soft and feminine appearance. Maybe he's born gay, who knows? Same applies to Diamond's son with Hamisa Mobetto. The little boy looks gay, gay, gay.
 
Malezi ya kisasa ni makaburi kwa watoto hapo mbeleni. Mzazi asie na hofu ya Mungu na akamlea mtoto katika mazingira hayo hayo ambayo mzazi anakulia na kuishi kama kwenda ma club kwenye bar ambazo kabisa tunajua chini ya miaka 18 mtoto hawaruhusiwi , yeye ana mpeleka.. maana anaanza panda mbegu ya uharibifu kwa mtoto kwa kujua ama kutokujua, kuna wehu watasema kawaida.. Swali jepesi tu Baba zao walilelewa kama huyu mtoto ? Mungu afanye njia kwenye giza la malezi ya watoto, wazazi wa kisasa wamekuwa chimbuko la uharibifu wa ubadae wa watoto wao
 
Dada kuwa makini na malezi,unavyoongea ni kama mtoto hana hisia zozote za kimapokeo kipindi cha makuzi. Ubongo wa mtoto unapokea na kuhifadhi vitu bila kufanya upembuzi,kitu ambacho ni kibaya sana huko mbeleni. Nilishawahi msikia huyu Irene akilalamika dogo anataka kuambatana nae kila mahali,mpaka ikafika hatua anakasirika akitamani acheze na wenzake lakini dogo hataki.
Mbona hii ni kawaida tu mtoto kutaka kuwa nawe muda wote
 
Huyu mtoto anaonekana amedekezwa na anadeka mno. He is an easy target to bullying because he's overly pampered by his mom and also because of his soft and feminine appearance. Maybe he's born gay, who knows? Same applies to Diamond's son with Hamisa Mobetto. The little boy looks gay, gay, gay.
Kama moto upo nyie watu mtachomwa moto hakii na maneno yenu mshindwe na mlegee
 
Huyo irene mmewe alifariki,unataka afanyaje
Acha kuwasemea watu vibaya
Hata kwenye ukoo wako wapo single mother wa kutosha
Na palipo na single mother kumi jua kuna single father kumi pia upoo
Ok,nimekuelewa mkuu
 
Nikuambie kitu ndugu yangu malezi tuliyopewa na wazazi wetu sio malezi tunayoweza ku apply kwa watoto wetu 100% sasa hivi kubali kataa.

Dunia imebadilika sana. Ukimpeleka mtoto wako kibabe utampoteza.

Tunahitaji kujiweka karibu na watoto wetu Ili kujenga sense ya trust Kati yao na sisi. Trust inasaidia watoto kutuamini, kufunguka kwetu na pia kujua kwamba no matter how hard life gets they have a home to come back to.

Depression imekuwa so real, watoto wadogo wanajiua. Sababu wanapitia mengi ambayo hawawezi kutuambia kwa vile tumekuwa wakali kama mbogo.

Times have changed honey, we need to change accordingly.
Labda awe amezaliwa Masaki
 
View attachment 1766743

Nikimuangalia vizuri huyu mtoto wa Irene Uwoya ni wazi ana hitaji kuwa na baba kama sio baba au uncle maana ni wazi huyu mtoto kwa anavyo lelewa lazima atakuja kusahau kuwa yeye ni mwanaume!

Uwoya anamlea huyu mtoto kama mtoto wake wa kike au shosti yake kabisa!
Ina maana Harmonize au Mbosso wameshindwa kuwa baba wa huyu mtoto?
Wasalaam....
Naunga mkono hoja mkuu, Ila cyo kwa hao uliyowapendekeza! kwa7bu nao bado ni watoto na hoja ni mtoto kupata malezi ya baba na si mtoto kupata malezi ya mtoto mwenzie. Nasema haya kwa jazba na kwa kumaanisha Kama baba na mlezi..ili kuepuka yacje jirudia yale ya janjaro na kumbomoa mtoto kiakili badala ya kumjenga.
 
Astagafiruuuliaah kweli we fisi

IMG_0188.jpg
 
View attachment 1766743

Nikimuangalia vizuri huyu mtoto wa Irene Uwoya ni wazi ana hitaji kuwa na baba kama sio baba au uncle maana ni wazi huyu mtoto kwa anavyo lelewa lazima atakuja kusahau kuwa yeye ni mwanaume!

Uwoya anamlea huyu mtoto kama mtoto wake wa kike au shosti yake kabisa!
Ina maana Harmonize au Mbosso wameshindwa kuwa baba wa huyu mtoto?
Wasalaam....

IMG_0188.jpg
 
Back
Top Bottom