Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Ni nani Baba wa mtoto wa Irene Uwoya kwa sasa?

Kumbe na hangaika na lisingo maza,kumbuka singo maza huzaa singo maza pia,kama unataka kuwaokoa wanao ,wapeleke wakalelewe na wajomba zao,maana malezi ya singo mama huwa yamekaa kaa kimalaya malaya kujiuza

Huyo irene mmewe alifariki,unataka afanyaje
Acha kuwasemea watu vibaya
Hata kwenye ukoo wako wapo single mother wa kutosha
Na palipo na single mother kumi jua kuna single father kumi pia upoo
 
Kila mtu aishi na familia yake maswala ya kijamaa tumeshapita sasa hivi tuko kwenye ubepari wewe mlee mwanao vile inavyopasa wewe unavyoona akikuwa atachagua yeye afwate yako au ya ulimwengu full [emoji281]
 
Small minded buffoons.

Wanamkosoa hadi Mungu.

Mtoto kuwa handsome imekuwa shida.
Yaan eti mtoto akiwa mzuri oooh atakuwa shoga,hayo kwani mashoga wote wana sura nzuri kina kaoge walikuwa na sura mbaya,
Halaf kumnenea mabaya mtoto wa mwenzio kuhukumu tu kutokana na muonekano tu, utafikiri kazalia tanzania nzima akii
 
Naunga mkono hoja, angeishia tu kusema malezi ya wazazi wawili ni muhimu sana, lakin si kumwombea mtoto kujisahau kuwa ni mwanaume

Hii siyo sawa hata kidogo kumchulia mtoto asiye na hatia.

Anaweza kuharibika mtoto wake yeye mwenyewe
The little man is just a kid.

Jitahidi kumtenganisha mtoto na drama za Mama yake.

Na ukiwa kama Mzazi/ Mzazi mtarajiwa jifundishe kuwa na control na mdomo wako when it comes to kids.

Unapowaombea wanao, waombee na watoto wengine Mwenyezi Mungu awaongoze na kuwalinda!
 
Naona Karucee umegeuka jaji kutoa hukumu ya competitors wako kama mimi

Yaani unatuangalia,unatupa jajimenti eti wewe unaongea hivi,hujui hiki,hufanyi hiki kujenga hiki,hivyo sikuelewi,fanya hivi,ongea hivi,then nitakuelewa,hivyo nyamaza,etc

Blah blah blah

Na hiyo jajimenti naweza kutoa kwako wewe pia...

Wewe ni competitor wangu tunashindana hoja,wewe sio jaji among sisi wawili,madaraka hayo huna wala mimi sina,unajipa ujaji usiokua nao

Halafu nikae hapa nasikiliza hii jajimenti yako uchwara?
You lack the capacity to put up a decent argument without negativity, pre conceived notions and hateful comments.

I am therefore unwilling to be dragged into your BS or stoop to your level.

Am out.
 
Naunga mkono hoja, angeishia tu kusema malezi ya wazazi wawili ni muhimu sana, lakin si kumwombea mtoto kujisahau kuwa ni mwanaume

Hii siyo sawa hata kidogo kumchulia mtoto asiye na hatia.

Anaweza kuharibika mtoto wake yeye mwenyewe
Pamoja Mkuu.

Wakiishiwa hoka wanakuja hapa na matusi.
 
Naunga mkono hoja, angeishia tu kusema malezi ya wazazi wawili ni muhimu sana, lakin si kumwombea mtoto kujisahau kuwa ni mwanaume

Hii siyo sawa hata kidogo kumchulia mtoto asiye na hatia.

Anaweza kuharibika mtoto wake yeye mwenyewe
Wangapi tumeona watoto wa mashekhe na wachungaji wameharibika
 
Yaan eti mtoto akiwa mzuri oooh atakuwa shoga,hayo kwani mashoga wote wana sura nzuri kina kaoge walikuwa na sura mbaya,
Halaf kumnenea mabaya mtoto wa mwenzio kuhukumu tu kutokana na muonekano tu, utafikiri kazalia tanzania nzima akii
Mleta mada hajaeleweka, tatizo sio uzuri ila mama yake anampamba sana
Wengine wanafikiri mleta mada anataka mtoto ateswe ili kukomazwa hapana, kuna maisha mtoto anatakiwa akuzwe ili ajitambue yeye jinsia gani, kwani mtoto hawezi kupendezeshwa bila marembo ya kike? Au usipompaka lipshine utakuwa unamnyanyasa na kumtesa?

Wanawake huwa mnaharibu watoto kimasikhara sana
 
Wangapi tumeona watoto wa mashekhe na wachungaji wameharibika
Wachungaji na masheikh wana laana zao tu, tunawaona wasafi machoni ila gizani ni wachafu kuliko wapagani kwahiyo uzao wao ni kama Mungu anawaadhibu

Kwahiyo nao hawana utakatifu huo ni kama wewe tu, nao hufeli kulea kama anavyofeli uwoya
 
Issue ya huyu dogo inataka Kulingana na paula wakati watu wanamnyoshea kidole wanawake wengi walikua upande wa mama na kumvimbisha kichwa kwamba amlee mtoto vile anataka yeye sasahiv mambo yameharibika waliokua wanamsifia ndo wanaongoza kwa kumnyooshea vidole kwamba amemlea mtoto vibaya
 
Back
Top Bottom