Haya ndiyo masuala ya chadema kuyavalia njuga! Si kuonesha wanachangia kanisa bukoba cc Erythrocyte na kuandika ‘chadema ni mpango wa mungu’
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napata hasira sana kuona ndege hii ambayo ilinunuliwa huku sisi tukiambiwa tutakula nyasi ili Raisi awe anaipanda kwa shughuli zake za kiserikali.Julian Assange
Edward Snowden
Kufanyika nini mkuu!?Mzee Hafidhi ndio anaitumia.
Una swali lingine?
Ilikuwa ni matumizi mabaya ya mali ya umma .
Hii ndege ilinunuliwa kwa 92b?Nakumbuka enzi zile ilipelekwa Madagaska kubeba maboksi ya dawa ya corona[emoji205]
View attachment 2128202
Bi Mikopo haziamini ndege za Tanzania, ndiyo maana haipandi hiko kitu chenu.Napata hasira sana kuona ndege hii ambayo ilinunuliwa huku sisi tukiambiwa tutakula nyasi ili Raisi awe anaipanda kwa shughuli zake za kiserikali.
Halafu mwisho wa siku tunaiona ikitumiwa kwa shughuli binafsi kwa faida ya watu wachache, inaumiza sana.
Ila umenikumbusha mambo yale ya zamani. Unakuta " Hili ni eneo maalum. Usipige picha hapa!". Au "Hakuna ruhusa kupiga picha!" Mambo hayo yamepitwa na wakati katika kipindi hiki. Huko juu kuna satellite kibao zinachukua picha za kila kitu ambacho hapa chini mnajidai kwamba hakuna kupiga picha.Mpaka mmeanza kutrack na ndege ya Rais wa JMT? Hii nchi sasa imekuwa ngumu kuliko ugumu wenyewe!
Ilinunuliwa 40 million usd, kama kumbukumbu zangu zipo sawa kwa kipindi hicho 1 usd ilikuwa kama sh 700 - 1000Hii ndege ilinunuliwa kwa 92b?
Sasa ndiyo mtrack hadi pipa la Rais wetu? Hamjui mnahatarisha usalama wake? Sheria hamzijui? Kesi za ugaidi mnazijua?Ila umenikumbusha mambo yale ya zamani. Unakuta " Hili ni eneo maalum. Usipige picha hapa!". Au "Hakuna ruhusa kupiga picha!" Mambo hayo yamepitwa na wakati katika kipindi hiki. Huko juu kuna satellite kibao zinachukua picha za kila kitu ambacho hapa chini mnajidai kwamba hakuna kupiga picha. Huwezi kuficha chochote ukidhani watu hawatafahamu. Karibu kila kitu kipo wazi kwa walimwengu.
Convert monetary value ya wakati huo na sasa!Ilinunuliwa 40 million usd, kama kumbukumbu zangu zipo sawa kwa kipindi hicho 1 usd ilikuwa kama sh 700 - 1000
View attachment 2128275
Au wale Marais wasaidizi wenye kazi maalum: Mh. Lukuvi na Prof. Kabudi?Labda mumewe