Ni nani huyu Irene Robert?

Ni nani huyu Irene Robert?

JF imeingiliwa sana hadi inakera yaani mtu mwingine hata akitaka kwenda chooni kukata gogo atakuja JF kuomba ushauri achuchumae vipi

Mzee apart from this thread una tatizo lolote? Why you take things so personally...you don't know me, idk you man...why all these? 😂😂😂....chill sio kila kila kitu cha kuchukulia serious, alafu kabla hujaongea kitu fanya kidogo research.....am not stranger here 😅😅😅 lol.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Unazingua ungesubiri upate picha ndiyo ufungue uzi

Man! Tunaanza kupangiana na Maisha tena 😂😂, you guys are so funny daah! 😅😅


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Wasalaam!

Jumapili tulivu kabisa, nime "tune" Wasafi TV , kumcheki ndugu yangu masanja kwenye Wasafi Sunday worship, nakutana na "Pisi" moja kaliii sanaaa! tena yenye mzigo heavy heavy, naona ndugu yangu masanja concentration imepotea, macho yote yanamsaminisha huyu binti mkali.

Nifupishe tu uzi ,kilichonishangaza zaidi ni baada ya masanja kuanza kumuuliza maswali personal huyu binti....

"Husumbuliwi"?? , Una mchumba/umeolewa?

Unfortunately hii pisi iliyobarikiwa sauti tamu sanaaa inadai haina mahusiano, na hana mpango wa kuwa kwenye mahusiano kabisa [emoji33],

Bado nimebaki najiuliza hivi huko kanisani kwelii kuna wanaume wenye macho yanayoona???

Mwenye taarifa zaidi za huyu binti (Irene Robert) ebu tusaidiane wakuu, nikipata hata picha zake itapendeza sanaa. Pia naomba kujua lilipo kanisa la mume wake christina shusho naambiwa huwa anahudumu hapo.

Hii pisi imenisisimua sana moyo wangu jumapili ya Leo.




Let's meet at the top, cheers [emoji482]
tafuta pesa...utaendelea kuwafungulia thread hadi uchoke wengine wenye pesa watakula.
 
tafuta pesa...utaendelea kuwafungulia thread hadi uchoke wengine wenye pesa watakula.

😂😂 Haha haya maisha raha sana, unaweza kuta unatoa ushauri huu na hujui unakula hata nini mchana huu. 😂😂😂


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Kwahiyo unataka kuniambia ukishamfahamu utamshawishi umuoe au?
 
Uzuri wa mtu upo machoni pa mtu nimeamini,yani CV ulizoshusha za huyo manzi huku kichwani nikawa

natengeneza picha jinsi atakavyokua,nashuka chini kwenye comment nakutana na picha ya muhusika

asee mkuu nimejikuta nimebenua tu mdomo,nisiwe hata na la kusema Duniani hamna m'baya asee
 
Back
Top Bottom