KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Wivu tu..๐We nawe kwenda huko..wa kuoa utakuwa wewe
Ntakuwowa wewe Basi..๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu tu..๐We nawe kwenda huko..wa kuoa utakuwa wewe
๐๐ Wivuu?..si mpakaWivu tu..๐
Ntakuwowa wewe Basi..๐
Unisemee kwa Nani..??๐๐ Wivuu?..si mpaka
Nikusemee?
Eewaaaaa! Hii shape tamu sanaa. Ubarikiwe sana mkuu.
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
Kwa pisi kaliUnisemee kwa Nani..??
Kweli kaumbika
Atajwe..Kwa pisi kali
Kibonge mwikoAtajwe..
Yani huyu ndio amesababisha jamaa akaja kuanzisha uzi? Duh, kweli tunatofautiana!
Nishatupa kule huyo ninamkasa mwengine!.. ngoja nipone kisogo nitakileta..๐Kibonge mwiko
๐๐๐๐Nishatupa kule huyo ninamkasa mwengine!.. ngoja nipone kisogo nitakileta..๐
Huko sio kufundishwa adabu ni kupitia Mambo mbalimbali๐๐๐๐
Ila we kwa Mikasa tu hujambo..na Bora wanavyokufundisha adabu๐คฃ๐คฃ
Kufundishwa adabu hukooo..๐๐ ona unavyojiona mwamba..๐คฃ๐คฃ๐คฃHuko sio kufundishwa adabu ni kupitia Mambo mbalimbali
Halafu Kuna kitu nataka nikuambie!Kufundishwa adabu hukooo..๐๐ ona unavyojiona mwamba..๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Embu niambie icho kituHalafu Kuna kitu nataka nikuambie!
Nisaidie kiingereza Kuna pisi ya marekani nimeopoa tatizo ung'eng'e mama ntaumbuka kiberenge wa watu..Embu niambie icho kitu
๐๐ Ukaumbuke tu.. mwenyewe patupuNisaidie kiingereza Kuna pisi ya marekani nimeopoa tatizo ung'eng'e mama ntaumbuka kiberenge wa watu..
Haya Sasa kwisha habari yangu!.. naenda kuumbuka nilimdanganya nina PhD kumbe la Saba D!๐๐ Ukaumbuke tu.. mwenyewe patupu
[emoji1787][emoji1787]blaaUzi wa majigambo na uliojaa sifa hivi bila picha ni sawa sawa na kukengeuka