Unazingua ungesubiri upate picha ndiyo ufungue uzi[emoji28] Sasa ulitaka nipige picha TV mkuu? Nasubiria wadau wanaomjua labda wataleta picha Zake hapa.
Kipangaspecial
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Inatia hasira
Shukrani kwa picha mkuu binti ana kiwango, kafanana na Tally hunter
Mtoa mada umependa shape au sura?
Au mguu shekh! Au nywele za rangi rangi?
Mmh hii nayo ni pisi kali
JF imeingiliwa sana hadi inakera yaani mtu mwingine hata akitaka kwenda chooni kukata gogo atakuja JF kuomba ushauri achuchumae vipi
tafuta pesa...utaendelea kuwafungulia thread hadi uchoke wengine wenye pesa watakula.Wasalaam!
Jumapili tulivu kabisa, nime "tune" Wasafi TV , kumcheki ndugu yangu masanja kwenye Wasafi Sunday worship, nakutana na "Pisi" moja kaliii sanaaa! tena yenye mzigo heavy heavy, naona ndugu yangu masanja concentration imepotea, macho yote yanamsaminisha huyu binti mkali.
Nifupishe tu uzi ,kilichonishangaza zaidi ni baada ya masanja kuanza kumuuliza maswali personal huyu binti....
"Husumbuliwi"?? , Una mchumba/umeolewa?
Unfortunately hii pisi iliyobarikiwa sauti tamu sanaaa inadai haina mahusiano, na hana mpango wa kuwa kwenye mahusiano kabisa [emoji33],
Bado nimebaki najiuliza hivi huko kanisani kwelii kuna wanaume wenye macho yanayoona???
Mwenye taarifa zaidi za huyu binti (Irene Robert) ebu tusaidiane wakuu, nikipata hata picha zake itapendeza sanaa. Pia naomba kujua lilipo kanisa la mume wake christina shusho naambiwa huwa anahudumu hapo.
Hii pisi imenisisimua sana moyo wangu jumapili ya Leo.
Let's meet at the top, cheers [emoji482]
TEQU inazalisha vijana goigoi Sana wa kufikiri dizaini yako😅 Sasa ulitaka nipige picha TV mkuu? Nasubiria wadau wanaomjua labda wataleta picha Zake hapa.
Kipangaspecial
Let's meet at the top, cheers 🍻
Kabisa mkuu. Kasura kamebonyea kama kipepeteo cha nganoAna shape lakini hana sura nzuri.
Mkuu kwani unakula sura..? Hiyo si inafunikwa tu hata na gazeti laudaku unakula Mambo..Ana shape lakini hana sura nzuri.
NdioKwahiyo unataka kuniambia ukishamfahamu utamshawishi umuoe au?
Mtaani tunaita sura ya baba..Ana shape lakini hana sura nzuri.
We nawe kwenda huko..wa kuoa utakuwa weweNdio