Ni nani huyu Irene Robert?

Mkuu huyo ndo Pisi kali kiasi ukamfungulia uzi?

Ama ukweli uzuri wa kitu upo machoni kwa anayekipenda.
Eewaaaaa! Hii shape tamu sanaa. Ubarikiwe sana mkuu.

Let's meet at the top, cheers [emoji482]
 
Nishatupa kule huyo ninamkasa mwengine!.. ngoja nipone kisogo nitakileta..πŸ˜…
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila we kwa Mikasa tu hujambo..na Bora wanavyokufundisha adabu🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila we kwa Mikasa tu hujambo..na Bora wanavyokufundisha adabu🀣🀣
Huko sio kufundishwa adabu ni kupitia Mambo mbalimbali
 
Huko sio kufundishwa adabu ni kupitia Mambo mbalimbali
Kufundishwa adabu hukooo..πŸ˜‚πŸ˜‚ ona unavyojiona mwamba..🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukaumbuke tu.. mwenyewe patupu
Haya Sasa kwisha habari yangu!.. naenda kuumbuka nilimdanganya nina PhD kumbe la Saba D!
Tena ubovu anataka ile ya kuchati kwa video namkwepa lkn Toto Toto kweli aisee ntahakiki nakwenda hata kwa mganga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…