Ni nani huyu Oumilkheir wa DW!!?

Humble African

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
4,781
Reaction score
14,415
Ningependa kujua machache juu ya huyu mwanamama wa miaka dahali kwenye fani ya habari, miaka nenda rudi nimemsikia akifanya sanaa zake kwenye spika za redio,ni nani huyu? Anatoka nchi gani? Na je ni kweli ni mtasha kama ambavyo watu wanakariri!?

Tusemezane hapa wandugu!.
 
Huyu mama tangu mie nipo Primary hadi leo na ninamtoto anaingia form 1.
Yaani anatakangaza vizuri ile mbya,utapenda kumsikiliza.
Hasaa anapovuta ile kutoka mjini Bonnee.
Nahisi ni mtu wa Mombasa
 
Mambo mengine, una google tu!,
All and all, best wangu Abou Liongo, alikuwa DW, nitawaulizia na kuwajuza!.

Thanks.

Pasco

Hii ni heshima kubwa kwako mkuu! Ni zaidi ya kukubalika. Tumegoogle bila mafanikio ndio maana tumeona tutafute google yetu pasco. Simple!!
 
Huyu mama tangu mie nipo Primary hadi leo na ninamtoto anaingia form 1.
Yaani anatakangaza vizuri ile mbya,utapenda kumsikiliza.
Hasaa anapovuta ile kutoka mjini Bonnee.
Nahisi ni mtu wa Mombasa
I like it most especially coming from a mlima guy.
 
Yuko njema sana, tangu miaka ya 80 ndo nilianza kumsikia, nahisi pale DW pashakuwa home sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…