Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Ningependa kujua machache juu ya huyu mwanamama wa miaka dahali kwenye fani ya habari, miaka nenda rudi nimemsikia akifanya sanaa zake kwenye spika za redio,ni nani huyu? Anatoka nchi gani? Na je ni kweli ni mtasha kama ambavyo watu wanakariri!?
Tusemezane hapa wandugu!.
Tusemezane hapa wandugu!.