Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kuna mwingine anaitwa sekioni kitojo ni wa kitambo gani? Salehe mwanamilongo ? Othman miraji ndani ya meza ya duara je..?Habari wana jf, mi naomba kujuzwa historia, elimu, uraia wa mtangazaji huyo wa siku nyingi dochovel German, huwa ana nivutia sana sauti yake na nimeanza kumsikia siku nyingi sana akitangaza tangu niko primary 88th early hadi sana, ahsanteni.
Kuna mwingine anaitwa sekioni kitojo ni wa kitambo gani? Salehe mwanamilongo ? Othman miraji ndani ya meza ya duara je..?
Ok huyu hapa ndio mama wa utangazaji ummy oumilkheir hamidu
Matangazaji wakoooo ni uuumunnni kheiryyyyyyyy....Ghazaaaa...waandamanajiii wa kipalestinaaa wamemwagika majiani kupiga kadhia ya mabomu yanayoporomoshwa kutoka israeliiii... Wakati huuo huoooo kundi la kigaidi la twalibaaaani limefanya shambiliziii la kujitoa muhangaaa huko kabuuurouuuu..Fuko la fedha la dunia limesitisha msaadaaa wake katika kuokoa uchumii wa uturukiii unaolekea shimoniiii... Hizi ni habari za mchana kutoka aaa boooooniiiiiii
Namkubali sana huyu mama na ninaposiki report yoyote akisoma yeye bac huacha kila kitu ili nimckie vema kama yeye mwemnyewe anavyoitamka,Tangu enzi ya band moja radio ya mkulima niko kwenye kahawa nimeivaa shingoni,DW saba mchana,mama ni mahiri sana
Ameolewa?Mkomoro lakini amakulia zanzibarrrrrrrrrrrr....na amefanya kaziiii DW pale boooooooooooooooonnnnn kwa miaka 30 sasa...na jina lake kwa ufasahaaaaa ni Umukheyir Hamidouuuuuuu
Dah! Katika hawa watangazaji nilikuwa namkubali Ally Atassy na Mariam Shamte wa BBC.
Kuna mwingine anaitwa sekioni kitojo ni wa kitambo gani? Salehe mwanamilongo ? Othman miraji ndani ya meza ya duara je..?
Ok huyu hapa ndio mama wa utangazaji ummy oumilkheir hamidu
Matangazaji wakoooo ni uuumunnni kheiryyyyyyyy....Ghazaaaa...waandamanajiii wa kipalestinaaa wamemwagika majiani kupiga kadhia ya mabomu yanayoporomoshwa kutoka israeliiii... Wakati huuo huoooo kundi la kigaidi la twalibaaaani limefanya shambiliziii la kujitoa muhangaaa huko kabuuurouuuu..Fuko la fedha la dunia limesitisha msaadaaa wake katika kuokoa uchumii wa uturukiii unaolekea shimoniiii... Hizi ni habari za mchana kutoka aaa boooooniiiiiii
Shangaa na ww, nishamuona mara kibao na hii Tshirt labda ni uniform yake ya kazi.Hivi hii Tshirt ya Michuzi ni ya uganga au kuna siri gani iliyojificha juu ya Tshirt hii?
Ameolewa?
Shangaa na ww, nishamuona mara kibao na hii Tshirt labda ni uniform yake ya kazi.
Shangaa na ww, nishamuona mara kibao na hii Tshirt labda ni uniform yake ya kazi.
Mkuu atakuwa kashaolewa tu huyo, mi nimemsikia tangu primary hadi sasa nazeeka,acha utani, atakuwa na vitukuu huyo.
Ningependa kujua machache juu ya huyu mwanamama wa miaka dahali kwenye fani ya habari, miaka nenda rudi nimemsikia akifanya sanaa zake kwenye spika za redio,ni nani huyu? Anatoka nchi gani? Na je ni kweli ni mtasha kama ambavyo watu wanakariri!?
Tusemezane hapa wandugu!.