Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Ni nani huyu Waziri Rajab Salum, Katibu binafsi wa Rais Samia?

Ni WA Bara ama wa pwani?? Lkn kwa kumtizama ni mtu asiekuwa na wenge, hana makeke. Ana hekma. Kuna siku nilimwona anamwambia mama abebe katoto hospital kule umbuluni, nikadhihirisha utu wake
Screenshot_20250125-174006.jpg
Screenshot_20250125-174025.jpg
Screenshot_20250125-174041.jpg
Screenshot_20250125-174106.jpg
Screenshot_20250125-174125.jpg
Screenshot_20250125-174031.jpg
 
Kama ilivyokuwa kwa Nguza Samike katibu binafsi wa Rais Magufuli na sasa tuna Waziri Rajab Salum katibu binafsi wa Rais Samia.

Huyu ndiye mtendaji wa shughuli zote binafsi za Rais Samia katika masuala ya utawala na serikali.

Huyu ndiye mwandishi wa hotuba za Rais, hivyo Rais siku akipatia credit ziende kwa huyu mwamba na akiskosea pia ni hivyohivyo.

Kwasasa viongozi wengi hasa wabunge wamekuwa wakimpost huyu jamaa kupitia mitandao yao ya kijamii ili tu kuweka mazingira yao ya kisiasa vizuri.

Mwenye CV anaweza kuleta ili tunjue kwa undani.

View attachment 2909032View attachment 2909033View attachment 2909034
Siyo katibu binafsi bali ni Katibu Ofisi Binafsi ya Rais (OBR).
Kiitifaki hiyu hatakiwi kuonekana sana. Nadhsni katibu mkuu kiongozi ni mtu mkubwa zaidi ikulu.
 
Tatizo lake jamaa ana taka kuwa star wa shoo... angebakia kuwa underground... sasa anavyozidi kuwa kwenye spotlight ndio anazidi kujiharibia... a brotherly advice
 
Tatizo lake jamaa ana taka kuwa star wa shoo... angebakia kuwa underground... sasa anavyozidi kuwa kwenye spotlight ndio anazidi kujiharibia... a brotherly advice
Uko sahihi jamaa yuko mbele mbele sana hii ipo siku itamtafuna tu, Nchi hii kuna watu wanaweka mambo moyoni siku ukiteleza tu hakuna rangi utaacha kuona
 
Tatizo lake jamaa ana taka kuwa star wa shoo... angebakia kuwa underground... sasa anavyozidi kuwa kwenye spotlight ndio anazidi kujiharibia... a brotherly advice
Ni staa wa shoo sababu ana ruhusa kuwa star wa shoo kutoka kwa SSH. Otherwise angeambiwa afanye kazi kama watangulizi wake.
 
Wakuu habari za majukumu.

Mimi leo naomba kufahamishwa tu jambo moja kuhusiana na huyo jamaa mwenye miwani hapo mabele ya Raisi wetu. Ni nani haswa kwenye hii inchi?

Nimekua nikimfuatilia sana kwa jinsi anavyojiweka na kuonenekana ( ni kama vile ana wadhifa mkubwa sana na nguvu pia kwenye hii inchi).

Who is he exactly?

1000253139.png
 
Wakuu habari za majukumu.

Mimi leo naomba kufahamishwa tu jambo moja kuhusiana na huyo jamaa mwenye miwani hapo mabele ya Raisi wetu. Ni nani haswa kwenye hii inchi?

Nimekua nikimfuatilia sana kwa jinsi anavyojiweka na kuonenekana ( ni kama vile ana wadhifa mkubwa sana na nguvu pia kwenye hii inchi).

Who is he exactly?

Katika uongozi wa awamu ya sita, kuna cheo na kitengo kipya kinaitwa "Chawa". Sasa huyu ndo mkuuu wa "chawa"
 
wakuu namimi naomba kujua huyu ni nani maana huwa namuona sana , ni lead wa security detail au ni nani?

Snapinst.app_474889432_18482977360019119_3367511291011802211_n_1080.jpg
 
Back
Top Bottom