Ni nani Mmiliki Wa Blog Hii Millardayo.com?

Alafu wewe.una maswali ya uchochezi.uliona wapi bongo fleva ikapigwa kwenye matangazo ya vifo?
 
Clouds media bwana wanajiturumuaga kushindana na IPP kitu ambacho kiuhalisia hawawezi

Wanasahau baba ni baba tu vyombo vya habari vya IPP vikiamua vifanye utoto wanafanya kina Ruge mwezi mmoja tu tu Ruge ataomba nape awakutanishe na kina sister joy ili wayajenge beef liishe sema kule IPP wapo kiweredi zaidi sio ujanja ujanja tu
 
Kuna watu hujitokeza na kumsifia Millardayo kwamba ni miongoni mwa vijana wenye mafanikio zaidi!

Kumbe nayeye amna kitu anategemea kibarua clouds, Ninavyomuona hatakiwi kuwa muoga kiasi hiki wakati anauwezo wa kujitegemea pasi na Clouds ya Ruge.
Elimu kwa wanahabari wetu inahitajika ili waondokane na utumwa wa namna hii na kujitambua.
 
unauliza mmiliki wa dangote cement ni nani?
 
Degree anayo lakini?
 
Sami Misago nae alikuwa anapost after school bash? Fiesta je alipost?
 
Unajua bongo unaweza ukawa unajua kitu ...lakini ukionyesha ujuaji wako mbele ya watu inakula kwako ni bora kuishi kinafiki kama watakavyo wao ili siku ziendelee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…