Juma chief JF-Expert Member Joined Jun 6, 2016 Posts 2,764 Reaction score 2,366 Aug 20, 2016 #61 Dunia imeumbwa kwa ajili ya viumbe hai na visivyohai ktk uso wa dunia huku mwanadamu akipewa.mamlaka ya kuongoza viumbe wengine......maana yake basi dunia ni ya viumbe wote walioumbwa na mwenyezi kama makazi ya uhai wao.. kwa mtazamo wangu...
Dunia imeumbwa kwa ajili ya viumbe hai na visivyohai ktk uso wa dunia huku mwanadamu akipewa.mamlaka ya kuongoza viumbe wengine......maana yake basi dunia ni ya viumbe wote walioumbwa na mwenyezi kama makazi ya uhai wao.. kwa mtazamo wangu...