Ni nani mmiliki wa huu ulimwengu/dunia?

Ni nani mmiliki wa huu ulimwengu/dunia?

Hebu nikuulize swali ni nani aliyeiumba dunia hii na vyoye vilivyomo?

Kama ukimjua aliyeiumba dunia hii basi ndiye mmiliki maana ameweza kuiumba na anaweza kuibomoa..hiyo peke yake ni hati miliki.
Kwaio aliyeiumba ndiye mmiliki.

Mfinyanzi siku zote anaweza kukifinyanga kitu na kikatokea...kama apendavyo.
Na wakati huohuo anaweza akakibomoa.
Fundi mbujifu anaweza akabuni mashine jinsi awezavyo na anaweza akaiharbu kama atakavyo na mtu yeyote asiweze kuitengeneza...huyo ni mmiliki.

Aliyeweza kukupa pumzi na kuiondoa huyo ndiye anayekumiliki wewe.
Kuondoa pumzi ni wakati wowote kama jinsi apendavyo haitaji ushauri..
Huyo anakumiliki..
Vivyo hivyo kwa dunia.
JE UNAMFAHAMU?
 
Kwa mujibu wa kitabu kimoja cha kale (Biblia) dunia ni mali ya shetani
 
Mkuu hivi umewaza nn mpaka kuandika hii reply[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu kwani ukisikia mtu aliye karibu na duka then anauliza kundi la watu nani muuzaji??? we unaelewa nini??? probably huyo atakuwa ni mnunuzi.!!!! sasa naona mtoa mada anauliza nani mmiliki wa haka kadunia??? sijui anataka kukajilimikisha???
 
Biblia imeandikwa kwa lugha ya kuficha. Ukisoma kitabu cha Mwanzo utaona Mungu alifanya uumbaji. Kwenye hiyo reference ya Yesu kujaribiwa, "milki" shetani aliyokua anazungumzia ni jinsi alivyowateka watu na mali zao...haikumaanisha kwamba yeye ndiye aliyeumba na kufanya.
Tukirudi kwenye mada, swali linauliza umiliki...general answer wanadamu ndio wamiliki wa dunia. Uumbaji ulifanyika na Mungu (dini)
Kwanini iandikwe kwa lugha ya mafumbo? Huoni kama kuna figisufigisu hapo mkuu? Kuhusu biblia na dunia kuna kitu kipo nyuma ya pazia sio bure.
 
Tangu naanza kupata mafundisho ya kiiman.... Niliambiwa dunia ni ya Mungu... Lkn kwa sasa wamepinga sana uwepo wa Mungu.
Hata wana sayansi nao wamepinga uwepo wa Mungu.

Sasa je... Hii dunia na vyote viijazavyo ni mali ya nani?
Yesu Kristo.
Mbingu na nchi ni mali ya Bwana. Dunia na wote wakaao ni mali yake...
 
rabbu ssamawati wal ardhwi wamaa baina humaaa,MUNGU WA MBINGU NA ARDHI NA VYOTE VILIVYOMO BAINA YAKE,QURAAN HYO KATIKA UBORA WAKE,ulimwengu ni wa mungu,
 
Sio
rabbu ssamawati wal ardhwi wamaa baina humaaa,MUNGU WA MBINGU NA ARDHI NA VYOTE VILIVYOMO BAINA YAKE,QURAAN HYO KATIKA UBORA WAKE,ulimwengu ni wa mungu,
Sio kila mtu anaiamini hiyo quaran mkuu....I,e kuna wakristo,buddha..etc
 
haijalishi wana iamini quran au hawaiamini,lakn ndo kitabu pekee kilicho elezea dunia na maisha baada ya dunia,kwa kina na kwa urefu wake,vitabu vya mungu,vinne navyo ni taurat,injili,zaburi,na quran,kama utafata mafundisho mengine ambayo yapo nje ya vitabu hvyo,bhs wewe upo mbali na mungu wa kweli
 
Back
Top Bottom