kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
Akili yako wewe ni ndogo sana, hivi shopkeeper akikuibia Shs 100 kwa siku kwa miaka kumi, baadae ukagundua, ukipiga hesabu jumla utakua unamdai bei gani?, haina maana kwamba hiyo pesa yote amehifadhi, alikua anatumia, lazima mkubaliane terms za kukulipa kidogo kidogo wakati akiendelea na kazi.
Wacha vitendawili.
Acacia kwa miaka yake yote hata haijawahi tengeneza 1% ya hio pesa mnaidai.
Wewe fanya hivi, leta link ya ripoti inayosema Acacia imekubali kulipa.