Ni nani motivational speaker mkali hapa bongo?

mi namkubali chriss mauki ingawa huwa anaongea kwa mikogoo..kiasi kwamba unaweza ukaishia kumtamani badala ya kumsikiliza
mi mauki nikisia tu jina lake nafurahi najua. vinakuja vitu vya hatari
 
Huyu waminian ndio kiboyo yao aisee ukiwa unamskiliza na ukimuona live haviendani yupo fiti kila idata anakwambia ukitaka taka sana vitu mwisho utaitwa takataka
 
shigongo anachokwambia ndicho alichofanya na anachofanya ila hao wengine sijui harisi kapiga, nikki wa pili , luvanda hamna kitu kubali kataa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Demba umetisha. Atakusikia Miriam, shauri yako.
huo ndio ukweli mkuu...tena usiombe lugha inayotumika iwe English!! weeh unaweza ukadhani jamaa hajazaliwa Tanzania hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…