Ni nani Salma Madai, Mtaalamu wa IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Ni nani Salma Madai, Mtaalamu wa IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Akizungumza na mwanablog Magendela kupitia SALMA MADAI IT ANAYETEMBEA NA NDOTO ZA RAIS DKT SAMIA
Novemba, 2023, mdada mrembo wa sura na umbo, ameelezea ndoto za kuwa Rais wa Tanzania siku baadae.

Salma ambaye amekuwa akijiita Salama wa Samia Suluh katika mtandao instagram, amedai kuwa na asili ya kutoka Manyoni,Singida kwa sasa ni Mwenyekiti wa UWT CCM tawi la Mbezi na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam.

Vilevile amejitanabaisha kama mwanaharakati wa kutetea usawa na haki za jinsia ambaye ni mwenyekiti wa Taasisi ya DMI Foundation na pia ni makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya kupiga ukatili wa wanawake SMAUJATA na Mkuu wa Idara ya wanawake Taifa wa TK Movement.

Akiongea na Bloger amesema alipata elimu ya Shule ya Msingi Utemini kuanzia mwaka 1992 hadi 1998 na Sekondari ya Salmin Amour 1999 hadi 2002.

Kada huyo wa CCM anasema taaluma yake ya IT ( ambayo hakumuelezea aliipata wapi) hajaitumikia kwa muda mrefu, kwani ndoto yake ilikuwa ni kufanya biashara na shughuli za kijamii.
Anasema amefanya biashara ya kuuza viatu na nguo kwa takribani miaka 12 na baadae biashara ya kuuza virutubisho vya lishe.

"Biashara hii ya virutubisho vya tiba lishe nauza Tanzania, Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya, Zambia na kwingineko ambapo anakira kuwa elimu yake ya IT imekuwa msaada kwake zaidi" alieleza

Anasema anatumia mawakala na teknolojia za mitandaoni zimekuwa chachu ya yeye kufanikiwa katika biashara hiyo ambayo anazalisha bidhaa zote kwa kutumia kiwanda kidogo anachomiliki

baadae aliamua kujikita katika siasa ambayo anafanya hadi sasa kupitia CCM.

Kada amekuwa akifanana na Mbunge wa Segerea Bonna Kamoli kwa muonekano , kimo, umbo na hata wote kuwa wanasiasa wanawake wenye utaalamu wa IT ma wenye ndoto za kuwa Marais wa Tanzania hapo mbele.

Screenshot_20241030_125503_Instagram.jpg
Screenshot_20241030_112811_Instagram.jpg
Screenshot_20241030_124423_Instagram.jpg
SAMIA.jpg
1000545059.jpg
SAMIAAA.jpg
1000544904.jpg
1000544787.jpg
1000544783.jpg
1000544786.jpg
 
Kwa hali hiyo alivo ngumu kufikia hyo ndoto maana na yy anazidisha
 
Akizungumza na mwanablog Magendela kupitia SALMA MADAI IT ANAYETEMBEA NA NDOTO ZA RAIS DKT SAMIA
Novemba, 2023, mdada mrembo wa sura na umbo, ameelezea ndoto za kuwa Rais wa Tanzania siku baadae.

Salma ambaye amekuwa akijiita Salama wa Samia Suluh katika mtandao instagram, amedai kuwa na asili ya kutoka Manyoni,Singida kwa sasa ni Mwenyekiti wa UWT CCM tawi la Mbezi na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam.

Vilevile amejitanabaisha kama mwanaharakati wa kutetea usawa na haki za jinsia ambaye ni mwenyekiti wa Taasisi ya DMI Foundation na pia ni makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya kupiga ukatili wa wanawake SMAUJATA na Mkuu wa Idara ya wanawake Taifa wa TK Movement.

Akiongea na Bloger amesema alipata elimu ya Shule ya Msingi Utemini kuanzia mwaka 1992 hadi 1998 na Sekondari ya Salmin Amour 1999 hadi 2002.

Kada huyo wa CCM anasema taaluma yake ya IT ( ambayo hakumuelezea aliipata wapi) hajaitumikia kwa muda mrefu, kwani ndoto yake ilikuwa ni kufanya biashara na shughuli za kijamii.
Anasema amefanya biashara ya kuuza viatu na nguo kwa takribani miaka 12 na baadae biashara ya kuuza virutubisho vya lishe.

"Biashara hii ya virutubisho vya tiba lishe nauza Tanzania, Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya, Zambia na kwingineko ambapo anakira kuwa elimu yake ya IT imekuwa msaada kwake zaidi" alieleza

Anasema anatumia mawakala na teknolojia za mitandaoni zimekuwa chachu ya yeye kufanikiwa katika biashara hiyo ambayo anazalisha bidhaa zote kwa kutumia kiwanda kidogo anachomiliki

baadae aliamua kujikita katika siasa ambayo anafanya hadi sasa kupitia CCM.

Kada amekuwa akifanana na Mbunge wa Segerea Bonna Kamoli kwa muonekano , kimo, umbo na hata wote kuwa wanasiasa wanawake wenye utaalamu wa IT ma wenye ndoto za kuwa Marais wa Tanzania hapo mbele.

Hatuji tena kuongozwa na mwanamke
 
Akizungumza na mwanablog Magendela kupitia SALMA MADAI IT ANAYETEMBEA NA NDOTO ZA RAIS DKT SAMIA
Novemba, 2023, mdada mrembo wa sura na umbo, ameelezea ndoto za kuwa Rais wa Tanzania siku baadae.

Salma ambaye amekuwa akijiita Salama wa Samia Suluh katika mtandao instagram, amedai kuwa na asili ya kutoka Manyoni,Singida kwa sasa ni Mwenyekiti wa UWT CCM tawi la Mbezi na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam.

Vilevile amejitanabaisha kama mwanaharakati wa kutetea usawa na haki za jinsia ambaye ni mwenyekiti wa Taasisi ya DMI Foundation na pia ni makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya kupiga ukatili wa wanawake SMAUJATA na Mkuu wa Idara ya wanawake Taifa wa TK Movement.

Akiongea na Bloger amesema alipata elimu ya Shule ya Msingi Utemini kuanzia mwaka 1992 hadi 1998 na Sekondari ya Salmin Amour 1999 hadi 2002.

Kada huyo wa CCM anasema taaluma yake ya IT ( ambayo hakumuelezea aliipata wapi) hajaitumikia kwa muda mrefu, kwani ndoto yake ilikuwa ni kufanya biashara na shughuli za kijamii.
Anasema amefanya biashara ya kuuza viatu na nguo kwa takribani miaka 12 na baadae biashara ya kuuza virutubisho vya lishe.

"Biashara hii ya virutubisho vya tiba lishe nauza Tanzania, Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya, Zambia na kwingineko ambapo anakira kuwa elimu yake ya IT imekuwa msaada kwake zaidi" alieleza

Anasema anatumia mawakala na teknolojia za mitandaoni zimekuwa chachu ya yeye kufanikiwa katika biashara hiyo ambayo anazalisha bidhaa zote kwa kutumia kiwanda kidogo anachomiliki

baadae aliamua kujikita katika siasa ambayo anafanya hadi sasa kupitia CCM.

Kada amekuwa akifanana na Mbunge wa Segerea Bonna Kamoli kwa muonekano , kimo, umbo na hata wote kuwa wanasiasa wanawake wenye utaalamu wa IT ma wenye ndoto za kuwa Marais wa Tanzania hapo mbele.

Mmmm namuonea huruma sana....hadi aje afike uwaziri tu atakuwa amechakaa.....mafisiii yapo humo kwenye sihasa....muda taongea.....
 
Ukisomea fani yeyote bila kuifantia kazi......hiyo huitwa history of IT.....miaka 13 yuko nje game khaaaa hamna kituuuu
 
Back
Top Bottom