Ni nani Salma Madai, Mtaalamu wa IT mwenye ndoto ya kuwa Rais wa Tanzania

Ukisomea fani yeyote bila kuifantia kazi......hiyo huitwa history of IT.....miaka 13 yuko nje game khaaaa hamna kituuuu
Labda anaipractice kivyake si umeskia anasema inamsaidia kwenye kazi zake.
 
wa dizaini Kama sio msafi mkiwa faragha utajuta maana ni kama Dampo la Veyula
Kama ni hivi basi wanasiasa wa kike wenye uzuri wanachangamoto maana hamjadili elimu yake, shughuli zake ila uzuri wake.
 
Msimdanganye binti wa watu.
 
Afafika mbali as long as ana tako
 
Wenye D moja tumeona pale kwenye Rwanda pamewekewa Red na tushaelewa vizuri tu lakini tukija kwenye uhalisia hivi Uraisi ndio umefikia hatua ya kuwa simple namna hii kweli? Kuna shida pahala wallah bilai watalai miaka hiyo niko secondary wakati tunaulizwa na walimu unataka kuwa nani nikasimama " i want to be a pilot" hata sijamaliza sentensi vizuri tayari mwalimu kashanyanyua mwengine

Kumbe mwalimu aliona hapa hamna cha pilot wala mbuzi wa pilot ,leo hii mtu anakurupuka tu na mtako wake anataka awe Rais hivi Urais umekua rahisi sana hivi? Unajua kuna kauli ukitaka kuongea unaogopa kidogo,

Alafu Ccm kwa tabia yenu ya kupenda chochote kitu itawatokea puani mtakuja kupokea watu kumbe wana ajenda zao ,shenzi taipu
 
Labda anaipractice kivyake si umeskia anasema inamsaidia kwenye kazi zake.
Amesema haja practise miaka 12....IT pana sana kweli hapo anaweza kupiga code kwa C++ au Phython ? Anaweza kufanya Networking Router Configs ......Linux na DBase Oracle etc.....? Huyo alusoma history of IT...nieleweee.....darasani wanasoma definition tu server hujawahi kuiona sembuse config ??
 
Sawa sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…