Ni Nchi Ajabu Tanzania kushindwa kuvuna Gesi na mafuta inasubiri sekta binafsi kazi hiyo

Ni Nchi Ajabu Tanzania kushindwa kuvuna Gesi na mafuta inasubiri sekta binafsi kazi hiyo

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Katika Mambo tuliyopumbazwa na mabeberu ni kuacha shughuri za uzalishaji na kutegemea kukusanya Kodi Pekee Hilo kosa kubwa Sana na ,tunatakiwa kubadilisha mind set zetu Mambo mengine ni mtambuka siyo Kila kitu sekta binafsi, project ya baharini kuvuna Gesi inagharimu Kama trillion 7 lakini pia tunaweza kupunguza gharama kwa kukodi meli za uvunaji Gesi ,Kwanza sekta hii mtambuka ipewe wizara yake pekee na siyo kuchanganya na umeme.
 
Magufuli alikua anaelekea huko ila ndo vile tena ishakua vile
 
hii nchi wajinga wengi,
Tuisome namba tu
 
..na usipoangalia hata mishahara ya wafanyakazi serikali itakuwa inakopa kulipa(ref. nyakati za JMK mambo yalivyokuwa)
..tumerudi kwenye serikali ambayo pesa itarudi mifukoni mwa wachache, huku serikali ikibaki kuwa "masikini".
..achana na hiyo gesi, mengi tu yatatushinda.
 
Gharama ni trilioni 7 au 70, angalia vizuri vyanzo vyako vya taarifa.
 
Aiseee hivi unadhani mafuta ni maji?
 
Wewe umefanya nini kwa Nchi cha kujivunia!!

Kabla hujaanza kunyoosha kidole, anza kuonesha wewe kwa vitendo
 
Katika Mambo tuliyopumbazwa na mabeberu ni kuacha shughuri za uzalishaji na kutegemea kukusanya Kodi Pekee Hilo kosa kubwa Sana na ,tunatakiwa kubadilisha mind set zetu Mambo mengine ni mtambuka siyo Kila kitu sekta binafsi, project ya baharini kuvuna Gesi inagharimu Kama trillion 7 lakini pia tunaweza kupunguza gharama kwa kukodi meli za uvunaji Gesi ,Kwanza sekta hii mtambuka ipewe wizara yake pekee na siyo kuchanganya na umeme.
Hata marekani serikali yao haichimbi gesi, kazi hizo hufanywa na makampuni binafsi.
 
Kesho tarehe 1/7 mafuta yasipo shuka Bei watanzania waandamane ......
 
Katika Mambo tuliyopumbazwa na mabeberu ni kuacha shughuri za uzalishaji na kutegemea kukusanya Kodi Pekee Hilo kosa kubwa Sana na ,tunatakiwa kubadilisha mind set zetu Mambo mengine ni mtambuka siyo Kila kitu sekta binafsi, project ya baharini kuvuna Gesi inagharimu Kama trillion 7 lakini pia tunaweza kupunguza gharama kwa kukodi meli za uvunaji Gesi ,Kwanza sekta hii mtambuka ipewe wizara yake pekee na siyo kuchanganya na umeme.
Acha mbwembwe wewe,Nchi sio ya ajabu bali haina teknolojia,wataalamu na pesa ya kuwekeza huko..

Utatoa wapi dola bil.30 wewe?
 
Mtu hana uelewe wowote wa tasnia ya Mafuta na gesi na namna yanavyoatikana na mbaya zaidi hajawahi kufika hata Songosongo achilia kule MNAZI BAY Mtwara akajua gharama za uendeshaji wa hiyo miradi.

Mtu amekaa tu kwa Shemeji yake, kaona sister wake anapika anadandia Simu ya dada yake huku akisubiri ugali na matembele anapost upumbavu ambao hata hajui ghrama zake.

MPUMBAVU.
 
Mtu hana uelewe wowote wa tasnia ya Mafuta na gesi na namna yanavyoatikana na mbaya zaidi hajawahi kufika hata Songosongo achilia kule MNAZI BAY Mtwara akajua gharama za uendeshaji wa hiyo miradi.

Mtu amekaa tu kwa Shemeji yake, kaona sister wake anapika anadandia Simu ya dada yake huku akisubiri ugali na matembele anapost upumbavu ambao hata hajui ghrama zake.

MPUMBAVU.
Zuzu wewe
 
Mtu hana uelewe wowote wa tasnia ya Mafuta na gesi na namna yanavyoatikana na mbaya zaidi hajawahi kufika hata Songosongo achilia kule MNAZI BAY Mtwara akajua gharama za uendeshaji wa hiyo miradi.

Mtu amekaa tu kwa Shemeji yake, kaona sister wake anapika anadandia Simu ya dada yake huku akisubiri ugali na matembele anapost upumbavu ambao hata hajui ghrama zake.

MPUMBAVU.
Zuzu wewe
 
Back
Top Bottom