Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Kwanza lugha ya kimombo inapanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap! Maana ukisema mambo ya kilimo ni ya msimu alafu saa nyingine pata potea, upande mazao asubiri miezi 4,5 huko bado gharama za kupalilia..yeye anataka pesa ya fasta..he is not ready for that at the moment..Duh wazee wakiti chakuzunguka sio😀😃
Yeye anataka zile za town..mambo ya kulima lima hayataki..! 🤣
0682077872Unapo taka msaada jaribu kuweka na mawasiliano yako.
Unapo taka msaada jaribu kuweka na mawasiliano yako.
Shukran sana mkuu ila apo kutoboa kumake mtaji ni ngumuMsimu wakuvuna kwasiku ni elf 5 mpaka 7
Msimu kusafisha maelewano kwaplot
Msimu wakulima ..unakata kata Fukutu kwenye eneo ambalo ng'ombe wanaolimishwa wamepita Mara ya kwanza ..
Mda wakupanda unarusha Mbegu sehem anayopita ng'ombe elfu 5 mpaka saa 7 mwsho hapo unaweza jichanganya nakaz nyngine
Kuna kupiga dawa kama unaweza kila hekari ni elfu 10..
Kutia mbolea kwasiku elfu 5 mpka 7
Kubeba kwajil ya dawa ni elfu 7 kwasiku
..yote yakiisha unakuja msimu wa kulinda ngedere kwamwez ni elfu 70 mpka laki makubaluano mbwa wakutosha wapi..
..hiyo mpaka msimu tena wamavuno...hivyo nimzunguko
Kazi nyingi wafanyakaz wanajisimamia wenyewe
Co kweli ila shamba pagumuDuh wazee wakiti chakuzunguka sio😀😃
So kweli town enyew lazma uvuje jashoYeye anataka zile za town..mambo ya kulima lima hayataki..! 🤣
KipoKwanza lugha ya kimombo inapanda?
Shamba kukod inaanza elf 30 ..mbegu yamaharage ni elfu 10 kindoo hekari uingia vindoo 6 mpka 7 maximum.. viaz mbegu uanzia 20elfu miez mitatu tu hivyo ukikod unalima mara mbili kuvuna mwez wapili kwenda watatu
Unapenda tends kuvuna mwez wasita
Kuna maeneo mbolea si sana nakama ni mbolea kwamazo hayo hata mfumo mmoja haumalizi
Hapa nilipo saiz tu kilo inakimbia mpka 3400 maharage..huku maind hali sishwari kilo 350 mpka 400
Ndio kaka nataka pesa ya chap npate mtajiYap! Maana ukisema mambo ya kilimo ni ya msimu alafu saa nyingine pata potea..yeye anataka pesa ya fasta
Kuna jamaa wanaitwa Overseas connect, wapo jengo la psssf, wanaunganisha watu kwenda kufanya kazi nchi kama Poland, australia n. K kazi zao ni unskilled ila kuna gharama za kulipa ambazo utagharamia, viza, ticket na watakupa na accommodationHabari za majukumu wakuu,
Najua ngumu watu kukupa njia ya mafinikio ila najua wapo wanaoweza kunipa.
Nimejaribu kutafuta uzi wa kwenda nchi jirani kusaka vibarua ila naona wengi waliuliza tu namna yakufanya biashara uko kumaanisha kuwa wako vizur kiuchumi.
Mi niko tofauti sina changu nilichonacho kwenye nchi hii hadi mifukoni mwangu.
Msaada sasa ni nchi gani naweza enda saka kibarua chochote nikishapata mtaji ndo niwaze ya biashara.
NB. Ntajibu comments zote hata zile mbaya
Kilimo nimepiga sanaNitakucheki boss
Mkoa ganiKuna jamaa wanaitwa Overseas connect, wapo jengo la psssf, wanaunganisha watu kwenda kufanya kazi nchi kama Poland, australia n. K kazi zao ni unskilled ila kuna gharama za kulipa ambazo utagharamia, viza, ticket na watakupa na accommodation
Shkran mkuu ukiona spatkan jua mtandao tu uta mi dm namba yko mikuchek mimNitakucheki boss
Kweli kabisa! Maana kilimo nacho kina mikakati lazima ujipange kimtaji..e.t.cNdio kaka nataka pesa ya chap npate mtaji
Bila mtaj hutoboiKweli kabisa! Maana kilimo nacho kina mikakati lazima ujipange kimtaji..e.t.c
PamojaNitakucheki boss
Sahii afu gharama nikubwa yakulima..Gunia karibia Kumi zinashindana na Gunia moja lamaharageKwenye mahindi hakuna Hela sana mwambie aanzie mbeya ubaruka kama ana nguvu Kisha ndo aende songea then akitoka songea arudi njombe au mafinga
Kwa kijanaa anaetaka pesa kama faida maharage ni Bora zaidi ila mahindi ni kutunza tu pesaSahii afu gharama nikubwa yakulima..Gunia karibia Kumi zinashindana na Gunia moja lamaharage
Kilimo nimepiga sana
Hakilipi kama nilivoaminishwa
Unazungumzia zao gani hilo mkuuBila mtaj hutoboi
Gharama za mbegu tu hazipungui elf 60 kukod shamba 40 mbole 150k ad apo 250k ishakata na apo kila kitu nimefanya mwenyew kuanzia kulima kupanda kupalilia na kuvuna mavuno gunia 15
Gunia 40k mauzo lak 6
Muda miez 6 je kuna kitu gan utapata apo