Doji MD
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 1,770
- 3,552
Sahii kabsa nauzuri unalima mara mbiliKwa kijanaa anaetaka pesa kama faida maharage ni Bora zaidi ila mahindi ni kutunza tu pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahii kabsa nauzuri unalima mara mbiliKwa kijanaa anaetaka pesa kama faida maharage ni Bora zaidi ila mahindi ni kutunza tu pesa
MihogUnazungumzia zao gani hilo mkuu
Ebu waulize walimao
Mharage
Viazi
Mihogo
Soya
Mpunga
Mbaazi
N.k mahind weka pembeni
Soma post yanguKushindwa wewe sio kwamba wote tutashindwa. Kingine kilimo kinahitaji muda na pesa, itakuwa wewe ulifanya kilimo cha kienyeji.
Sijakulazimisha au kukushawishi uje kulimaMihog
Soma post yangu
We lima mi cihitaj kulima
Mwambie gharama ni 2000USD Kama 5,000,000 tshKuna jamaa wanaitwa Overseas connect, wapo jengo la psssf, wanaunganisha watu kwenda kufanya kazi nchi kama Poland, australia n. K kazi zao ni unskilled ila kuna gharama za kulipa ambazo utagharamia, viza, ticket na watakupa na accommodation
We endelea kulima bro mi nmeomba connection tofaut na vilimoMihog
Soma post yangu
We lima mi cihitaj kulima
Yeah apo ndo namaanisha nipe mwongozo sasaKama ni kibarua chochote Basi waweza kwenda nchi yoyote"
M5 nisinge hangaika kutafta kibaruaMwambie gharama ni 2000USD Kama 5,000,000 tsh
Kibarua Anza na mazingira yako ulonayo,tenegeneza fursa ktk.mazingira yako hata ikibidi iba ilimradi maisha yaende,usiwe toto.pole.utaumbuka na mengi mkuuHabari za majukumu wakuu,
Najua ngumu watu kukupa njia ya mafinikio ila najua wapo wanaoweza kunipa.
Nimejaribu kutafuta uzi wa kwenda nchi jirani kusaka vibarua ila naona wengi waliuliza tu namna yakufanya biashara uko kumaanisha kuwa wako vizur kiuchumi.
Mi niko tofauti sina changu nilichonacho kwenye nchi hii hadi mifukoni mwangu.
Msaada sasa ni nchi gani naweza enda saka kibarua chochote nikishapata mtaji ndo niwaze ya biashara.
NB. Ntajibu comments zote hata zile mbaya
Bro huwez amin hata saidia fund connection muhimuKibarua Anza na mazingira yako ulonayo,tenegeneza fursa ktk.mazingira yako hata ikibidi iba ilimradi maisha yaende,usiwe toto.pole.utaumbuka na mengi mkuu
Ndio kweli, gharama ni 5MMwambie gharama ni 2000USD Kama 5,000,000 tsh
Dar es salaam mzee, kama huna nauli unatulia bongo unapambanaMkoa gani
Melezo ya kina mkuu japo nauli sina
Apana =hapanaApana sipo South mkuu.
Apana =hapana