Ni ndoto gani uliota usiku na asubuhi ikatimia?

Ni ndoto gani uliota usiku na asubuhi ikatimia?

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Mimi nakumbuka kuna siku nimeota nipo stend nasubiri basi ili niende mkoani..sasa nikasemaa ili nisiwasumbue waatu njàni nikaenda kukojoa kabisa ili nikikaa kwenye gari ni moja kwa moja.

Duh! Naamka asubuhi...
 
Back
Top Bottom