tremendous
JF-Expert Member
- Aug 12, 2016
- 3,237
- 5,315
Mi Mmakonde mother tongue iliniharibu!
Magharibi nilikuwa nasema "Nangavivi"
Na hiyo nangavivi ni kimakonde kwa Kiswahili maana yake bibi hayupo 😂😂😂
Haha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi Mmakonde mother tongue iliniharibu!
Magharibi nilikuwa nasema "Nangavivi"
Na hiyo nangavivi ni kimakonde kwa Kiswahili maana yake bibi hayupo 😂😂😂
kuna jamaa alikuwa anatamka miskalenazi sijui ni wewe?
AgricultureNi neno lipi la kiingereza lilikua tabu kwako kutamka kipindi ukiwa form nyoya a.K.A form one
Mimi ilikua ni Characteristics na Archimedes principle
Kweli me lingine ilikua ni statistics ilkua ni hatarAisee Characteristics ilikua tatizo kwa wengi hususani tuliokua tumetoka kwenye shule za serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitisha sanaTranquility hili neno lilinipa heshima nikiwa form one assemble...siwezi kusahau...hahaaa tangia pale nikawa naruhusiwa kuazimwa vitabu non academic books kusoma siwezi sahau. Nakumbuka nikiazimwa vitabu viwili vya Ben Carson.. Gifted Hand and Think Big niwe najisomea hahaaaa
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Ni neno lipi la kiingereza lilikua tabu kwako kutamka kipindi ukiwa form nyoya a.K.A form one
Mimi ilikua ni Characteristics na Archimedes principle
Nikaanza kuwa star shuleni acha tuuUlitisha sana
Ata sijui
Abee
Poa[emoji4]