Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

it is un4getabo day "bebi usinipende sana ntakuumiza mi m.a.l.a.y.a sana bt thanks kwa kunipa bikra yako hvi umeniamini nini hata ukanipa dah!hadi naona aibu yani ujue nlihisi unanidanganya kumbe kweli! pole kwa kunipa nisiestahil na höngera kwa ku2nza."
 
fareb njoo ujibu hapa
baada ya hapo takuweka kwenye maombi..ila tu,usiwe heartbreaker
mke mi ntakutafutia lakini ningependa kufahamu yafuatayo ili kazi yangu iwe rahisi
i) elimu yako
ii) kazi yako
iii) kipato chako kwa mwaka
iv) mali unazomiliki mf nyumba ngapi, magari mangapi, na asset zingine
 
Last edited by a moderator:
kwani ulinikuta bikra wewe...usinibabaishe hata mie nnakwetu hukunikuta barabarani
 
Reactions: SDG

hahahahaaa
 
Reactions: SDG

Dah! Imenigusa Hii Kinoma Yani
 

duh, uliendelea na huyo mtu kweli? huwa nawashangaa sana wanaowakumbuka waliyoitoa hiyo kitu kwa mara ya kwanza... hata mimi ilitolewa na wrong person ambaye sitaki hata kuzijua habari zake
 
'deo najua nitakuwa mbali na wewe na wanaume hamuwezi vumilia,kama unaweza tafuta msichana mzuri kuliko mimi akuliwaze,ila usinsahau na nikirudi rudisha mapenzi kwangu,nakupenda sitokusaliti'hata hamu ya kuchepuka sina.i love u my mariamu!
 
duh, uliendelea na huyo mtu kweli? huwa nawashangaa sana wanaowakumbuka waliyoitoa hiyo kitu kwa mara ya kwanza... hata mimi ilitolewa na wrong person ambaye sitaki hata kuzijua habari zake
ah!wap sikuendelea nae mumy aafu ajabu ye ndo alikuja kufall vibaya sema si unajua tabia ni kama ngozi nlimwacha huku nacheka mpaka leo haamini yani ni anaomba radhi eti ulikua utoto!!by the way usijali bhana sometimes kukosea ndo kujifunza.
 
Nyie wote wachangiaji mmeachwa zamani?Hakuna aliye achwa recently?
 
Reactions: SDG
'deo najua nitakuwa mbali na wewe na wanaume hamuwezi vumilia,kama unaweza tafuta msichana mzuri kuliko mimi akuliwaze,ila usinsahau na nikirudi rudisha mapenzi kwangu,nakupenda sitokusaliti'hata hamu ya kuchepuka sina.i love u my mariamu!

schoolmate upo mzima lakin
 
Reactions: SDG
mimi huwa ananiambia na anarudia mara kwa mara kua anamuomba MUNGU atangulie yy kufa..maana nikitangua mimi cjui atafanya nn kwenye hii dunia...huwa lina ni touch sana..hasa nikiwa juu yake namzungushia kiuno changu cha kitanga huwa anatoa machozi na kulirudia hilo neno...huwa akianza kusema tu namziba mdomo kwa kiss
 

ha ha ha ha ha ha........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…