Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Siku nikigundua umenisaliti nitaku.f.i.ra nikupasue nnnya. Yani nilivyoagana nae pale ikawa ndio mwisho wetu. Kila nikimfikiriaga nahisi nilikua na muuaji.
 
dah sitasahau mwanaume niliyempenda kwa moyo wangu wote mpaka kuacha wengine kwa ajili yake aliponitamkia sikukupenda na wala hunivutii nilihisi dunia imenigeuka halafu baada ya mwaka anakuja eti turudiane anipeleke kwa wazazi wake nilivyomuacha kwenye mataa nahisi hatasahau nami sitasahau maana aliniachia kovu kubwa mno
 
"Una mboo tamu msukuma wewe!" mpenzi wangu wa kihaya fortunatha alisikika masikioni mwangu usiku wa saa sita kipindi nampelekea moto na lilikuwa goli langu la tatu huku nikitokwa na jasho jembamba, hakika neno hili sijawahi kulisahau.
 
nliachana na manzi angu akanambia nimekuchoka mwanaume gani una shati moja*** enzi nasoma chuo nlikua na kashati kangu nakapenda sana so kila nkikutana naye nimekapiga siku tunaachana alinichana ili niuma ila coz ni ukwel ilibid nikae kimya juzi nliamua kumtembelea kwao na V8 alishangaa sana
 
nliachana na manzi angu akanambia nimekuchoka mwanaume gani una shati moja*** enzi nasoma chuo nlikua na kashati kangu nakapenda sana so kila nkikutana naye nimekapiga siku tunaachana alinichana ili niuma ila coz ni ukwel ilibid nikae kimya juzi nliamua kumtembelea kwao na V8 alishangaa sana
Ni vema ikiwa ulichokiandika kikawa cha kweli.
 
Ely Nakupenda Sana Tafadhali Usiniache Mpenzi Wangu.

Najua sipo pake yangu kwako ila nitajitahidi kuwazidi wenzangu kwa namna moja ama nyingine

Maana mapenzi/mahusiano yetu ni ya muda mrefu na wewe ndo mwanaume wa kwanza kutoa usichana(Bikra) wangu.

Yaani haya maneno huwaga nayakumbukaga sana kwa kweli.

Ila kwa badae sana tulipishanaga kidogo mwenzangu akapata mpenzi mwingine akawa kwenye uhusiano badae wakafunga ndoa.
 
Back
Top Bottom