Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Sitasahau alikuwa ni X wangu lakini aliugua akanipigia simu halafu akaniambia " mimi ntakufa lakini tambua NAKUPENDA SANA" dah huwa nikikumbuka hadi chozi linasogea kwenye macho maana siku tatu baada ya kuongea nae alifariki kweli.
Daah hii inauma
 
honey, ukiishiwa hela au ukapoteza kibarua, itabidi unisamehe tu, kwani huwa sipati nyege nikiwa na mwanaume ambaye hana kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: SDG
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]umetishaaa ulimfanyia nin etii
 
Reactions: SDG
DAAAAA
KILA SIKU NAKUMBUKA TULIVYOKUWA TUNADANGANYA NA UPOFU WA MAPENZI ENZI HIZO SECONDARY ALIKUWA AKINAMBIA IF I DIE SHE WILL DIE TOO NA SIKU TUKIACHANA ATAJIUA, NASHANGAA TUMEKUJA KUACHANA NA BADO ANAENDELEA KUISHI
 
'Nakualika kwenye harus yangu'
 
Sitasahau alikuwa ni X wangu lakini aliugua akanipigia simu halafu akaniambia " mimi ntakufa lakini tambua NAKUPENDA SANA" dah huwa nikikumbuka hadi chozi linasogea kwenye macho maana siku tatu baada ya kuongea nae alifariki kweli.
Polee sana aliumwa nn?
 
"the way navo kupenda cnt explain nacho subiri ni mm kuamka asubh nakuona pembeni yangu mekukumbatia"kilichofata badae siri yangu




Mwngine "Wat goes around comes around"hii kauli inanitafuna mpk leo cjawah pata demu ila nna mashemeji wa kubafu *****
 
Reactions: SDG
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…