FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
1.Sitakuacha love,labda uniache wewe (nikimkumbuka hadi chozi linanshuka)
2.I love looking at u all the time,i have finally met my baby's mama'...(biggest liar of all times)
Bila wewe siwezi kuishi wewe ndio punzi yangu bora nife kuliko kukukosa cha ajabu akaenda kuolewa na millionaire ( siyo wa madafu wa $$$$) na hakufa yuko anaishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nliambiwa bby nataka chipsi za Survey afu iyo saa 7 ya usiku nipo hall1.
Ila kwa ile miuno ya pakachongo mbona nlimletea.
Ila iliniuma!!!!Sitosahau!
KabangInamaana uliingiza 0713
nliambiwa ukiniona tena nione kma pichaTunaambiwa mengi na tuwapendao ila lipo neno moja ambalo limewahi kugusa moyo kiasi kwamba si rahisi kusahau!
TIRIRIKENI
Eeeeeeh.I will never forget this words from the my x
Sorry I am in love with your young brother
Dah umeniliza mkuu so sad kifo hiki khaaaaaSitasahau alikuwa ni X wangu lakini aliugua akanipigia simu halafu akaniambia " mimi ntakufa lakini tambua NAKUPENDA SANA" dah huwa nikikumbuka hadi chozi linasogea kwenye macho maana siku tatu baada ya kuongea nae alifariki kweli.
nliambiwa ukiniona tena nione kma picha
alijifanya yes no baby nyingi you know blah blah ila wakati wa mechi ilipokolea akaanza kulia kikwao nikajua kumbe mzigua mwenzangunilijifanya mzungu saana mara ghafla akaniambia "ingiza basi" duh nitasahauje hile momento!!!
Dah so sad mkuu pole sana kwa wakati mgumu uliopitia jamani kifo kiacheni tu kinaumizaaaShe told me this" if i have to choose between breathing and loving you,i would use my last breath to tell you i love you", it was poetic but it truly came from her heart, i still remember her,may her soul rest in peace.
Dah jamani mbona the world is not fair uzi huu unanliza kwa kweli pole mamiDuh....pole sana emmy2ny, mi aliniambia anatupenda sana mimi na mtoto wake na kwamba yupo kwaajili yetu. Atatulea kwa kadri atakavyoweza ilmradi tuwe na furaha.
Nusu saa baadae nikaambiwa amefariki kwa ajali ya gari,kwakweli mpk sasa naona km Mungu amenionea sana maana dream zote zimekata ghafla. Nikikumbuka nalia sana, May his soul rest in peace!!!