Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Its Over, huna hadhi ya kuwa na mtu kama mimi

kuna mdada aliachwa kwa kauli kama hii, cha ajabu yule mkaka anataka kumrudia tena akiwa na ahadi nyingi tena..!!!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sitasahau nilikutana na mdada wa haja mwanza,kaumbwa kaumbika, nikapiga story mambo yakawa mambo Kule mza hatukudu tukapanga aje dar, mwanaume nikamkatia tiketi ya ndege kwenda na kurudi, siku ya siku katia timu dar nikampokea kwa mbwembwe na wapambe kibao,hotel ya hadhi tukaingia,baada ya mambo ya hapa na pale ikafika muda muafaka, dah!eti naambiwa fanya haraka nilale katulia tuli kama gogo nilishindwa kuendelea nikabaki kujutia gharama zangu.
 
Sitasahau nilikutana na mdada wa haja mwanza,kaumbwa kaumbika, nikapiga story mambo yakawa mambo Kule mza hatukudu tukapanga aje dar, mwanaume nikamkatia tiketi ya ndege kwenda na kurudi, siku ya siku katia timu dar nikampokea kwa mbwembwe na wapambe kibao,hotel ya hadhi tukaingia,baada ya mambo ya hapa na pale ikafika muda muafaka, dah!eti naambiwa fanya haraka nilale katulia tuli kama gogo nilishindwa kuendelea nikabaki kujutia gharama zangu.

Hafadhali hata hiyo wewe ulimwaga wazungu japo haukupata ushirikiano ingekuwaje,? kama angekuambia kaingia period ghafura ebu nambie?
 
ayaaaa
usingewaita bwana

:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2: has no single ownership.. even you you have the right to fall..
 
She told me this" if i have to choose between breathing and loving you,i would use my last breath to tell you i love you", it was poetic but it truly came from her heart, i still remember her,may her soul rest in peace.

Oh!! Pole sana
You will never forget to remember her.
 
Sitasahau alikuwa ni X wangu lakini aliugua akanipigia simu halafu akaniambia " mimi ntakufa lakini tambua NAKUPENDA SANA" dah huwa nikikumbuka hadi chozi linasogea kwenye macho maana siku tatu baada ya kuongea nae alifariki kweli.


Inasikitisha , pole sana.
 
i know...but am a nun remember?
:A S-heart-2::A S-heart-2::A
S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A
S-heart-2::A S-heart-2: has no single ownership.. even you you have the
right to fall..
 
Back
Top Bottom