Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Ni neno gani uliwahi kuambiwa na mpenzi wako likakutouch moyoni na huwezi kulisahau?

Bila wewe siwezi kuishi wewe ndio punzi yangu bora nife kuliko kukukosa cha ajabu akaenda kuolewa na millionaire ( siyo wa madafu wa $$$$) na hakufa yuko anaishi[/QUOT


Daaah!!Binadamu hawana wema
 
"sikupendi wala sikutaki"....

huyo alikuwa ex wangu, kiliniuma saaana but nikasepa, nilitema mate chini nikasema sitaweza kumrudia yule mazafanta. miezi miwili baadaye akataka turudiane, nilimshangaa sana ila msimamo wangu ni ule ule.
 
"najua unavyonipenda na unavyohitaji kuishi na mimi ila naona nitakusumbua sana maanake sijamaliza starehe za ujana" he stopped there and hug me with tears on his cheeks...angejua ninavyompenda angerudi hata for a single day.
 
"siwezi gombana na wazazi wangu kwa ajiri yako,kama mapenzi yaishie hapo,natumaini nimetumia kiswahili kinachoeleweka
wako......"
hiyo ilikuwa aya ya mwisho ya barua yake tukiwa form 4
but she iz my wife now and tunamtotom1 ile barua cjaichana nimeiweka hadi kesho

siku 1 mpe aisome
 
  • Thanks
Reactions: SDG
"najua unavyonipenda na unavyohitaji kuishi na mimi ila naona nitakusumbua sana maanake sijamaliza starehe za ujana" he stopped there and hug me with tears on his cheeks...angejua ninavyompenda angerudi hata for a single day.


alikuwa anakushughulikia vizuri lakini?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom