exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
- Thread starter
- #21
Kwakwel hawa wasanii wetu ni vichekesho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwaio kurudi kiupya hadi utumie namna hiiKwa hiyo ndio solution,kisa pesa hakuna.
Haya ila hakuna kitu chenye thamani kwa mwanaume na kinatakiwa kulindwa kwa nguvu na akili zote kama marinda.
Kijana anapoelekea sio kuzuri hata kama kiki ila hii............ sio,watu sasa hivi wanaanza kuhoji marinda yake yapo salama.
Tuombe uhai tu tutaona mengi ya ajabu ipo siku atakuja na video akiwa anapigwa nyuma
Exalioth
Machinga
Sent using Jamii Forums mobile app