Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akianza kubana chocho apige watu ngeta utaanza tena ooh wasanii wa bongo maskini bla bla blah hawana pesa maringo sijui ujuaji. Wakimtafuna atajua mwenyewe acha apambanie ugali wake vyovyote anavyoona inamfaaHii nchi ina watu wa Pumbavu,wajinga,na wa Hovyo sana na watu kama hawa ndio mtaji mkubwa wa CCM.
Huyo si dogo janja?
yeah janjaroHuyo si dogo janja?
Aisee fan ya wanaume imeingiwayeah janjaro
Raha ya bata, ule sehemu tofauti tofauti. Haha samaki samaki hupachoki tu na pale si kuna makelele tu kama micasa
Nyie ni VICHWA VYA WENDAWAZIMUHii nchi ina watu wa Pumbavu,wajinga,na wa Hovyo sana na watu kama hawa ndio mtaji mkubwa wa CCM.
Haha zile za samaki naona nikelele ambazo haziumizi; pale huwa napenda sare za wale mabinti tu.
😃😃
Ha ha ha hiyo wa hovyo sana daa umenikumbusha baba yanguHii nchi ina watu wa Pumbavu,wajinga,na wa Hovyo sana na watu kama hawa ndio mtaji mkubwa wa CCM.
Haha zile za samaki naona nikelele ambazo haziumizi; pale huwa napenda sare za wale mabinti tu.
Mkuu unamjua mzee moja hivi, anaitwa Kahema.?