Ni ngumu sana kumpata Mwanamke kama Tulia Ackson. Ana uwezo mkubwa, anafaa kuwa Rais

Ni ngumu sana kumpata Mwanamke kama Tulia Ackson. Ana uwezo mkubwa, anafaa kuwa Rais

Dkt Tulia Acksoni Mwansasu ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.nyota yake haizimwi kwa maneno ya chuki binafsi.uwezo wa dkt Tulia ni mkubwa sana na ndio maana wanambeya wameamua kumpa hati miliki ya jimbo la Mbeya mjini.ndio maana hata Dunia kwa kutambua uwezo wake wa kiuongozi iliamua kumuomba kwa magoti ili akaongoze umoja wa mabunge Duniani kama Rais wake.
Uwezo wa nini Sasa unakurupuka tu
 
Upstairs yuko vizuri sana na anajua kufanya timing kwenye maisha ya saisa za TZ, jambo ambalo huwa linawashinda hata wakongwe.

Huwa nawashangaa CDM wanaposema jimbo la Mbeya mjini watashinda, hizi ni same delusions kama za kuwaza kuwa unaweza kushinda urais wakati uwezo wa kushinda hata nusu ya viti vya ubunge hauna.
 
"anafaa kuwa Rais" ,nimefungua Uzi bila kusoma chochote.

Nimefungua ili nikuambie kuwa wewe ni BUMUNDA mkuu.

"Kwa mwanaume mwenye upeo mdogo lazima amwone Tulia kama Mjuaji, hasa pale atakaposhindwa kwa Hoja."

Naunga mkono hoja kwa msisitizo kama vipi 2025 twende na mwanamke lakini si lazima Samia.

Cc: Pascal Mayalla
 
Habari za Sabato!

Sijawahi kumfahamu Mwanamke yeyote kwa hapa Tanzania mwenye uwezo kama Tulia Akson. Sisemi ili wengine wamuonee Wivu, wala sisemi ili yeye awe na Kiburi. Ila naongea kila ambacho ninaokiona Kwa Tulia mwenyewe.

Kama utapata Nafasi ya Kumsikia Tulia Akson akizungumza iwe kwa kuhojiwa au kuhutubia, utagundua kuwa hana tofauti na kina Kamala Harris au kina Hilary Clinton.

Utulivu!
Kujiamini!
Umahiri!
Hoja!
Ubobevu!,

Nimeona Watu wengi wanapokutana na Tulia katika mijadala wakimshindwa kwa Hoja. Unapozungumzia hoja Unazungumzia uwezo wa akili ya mtu kujenga mantiki, yaani kitu kieleweke. Wakati mwingine kwa lugha rahisi.

Tulia sijawahi kumsikia akijali uanamke wake au maumbile yake kama sehemu 6a kikwazo katika kazi zake.
Tena yeye hupendelea changamoto anapokutana na sisi wanaume.

Tulia hatajali kama wewe ni Waziri au Mheshimiwa, ukiwa bungeni kama ataona kuna jambo hujalitolea maelezo yaliyonyooka au hakuna hoja anauthubutu wa kukukosoa au kutaka kukuweka Sawa.
Kujadiliana na Tulia Akson itakupasa uwe na uwezo mkubwa kama yeye au umzidi ili usije ukaaibika.

Kwa mwanaume mwenye upeo mdogo lazima amwone Tulia kama Mjuaji, hasa pale atakaposhindwa kwa Hoja.

Tunaposema Wanawake wapewe nafasi tunahitaji wanawake wa mfano wa Tulia Akson. Wanawake wenye uwezo.

Sio Mwanamke anayelalamika hajapewa haki yake. Tunahitaji Wanawake wenye uwezo wa kudai haki zao wenyewe bila kusaidiwa. Hao ndio watakuwa na uwezo wa kuongoza.

Tulia Akson anauwezo wa kushika nafasi ya Urais katika nchi yetu na sio hivyo tuu hata kuongoza Nchi yoyote hapa Duniani. Kwa sababu anasifa za level za kimataifa.

Nimemaliza

..mara nyingi Dk.Tulia hana hoja ila hutumia zaidi UBABE unaotokana na nafasi yake akiwa Naibu Spika au Spika.

..ukitaka kumpima mwanasiasa kama ana hoja / uwezo ama la basi utalazimika kumpima akiwa nje ya mamlaka na mbeleko ya serikali au dola.

..ukimsikiliza hoja za Dk.Tulia anapoongea na wananchi wa kawaida nje ya Uspika wake utagundua kwamba ni mwanasiasa anayelaghai wananchi kwasababu wengi wao sio waelewa.

..Mwisho, Dk.Tulia ni mwanasheria kitaaluma. Je, ametumia wanasheria wake kwa manufaa ya watawala, au kwa manufaa ya wanyonge? Je, Dk.Tulia ni mwanasheria mtafuta ngawira na vyeo, au mwanasheria mtetezi wa haki?
 
Habari za Sabato!

Sijawahi kumfahamu Mwanamke yeyote kwa hapa Tanzania mwenye uwezo kama Tulia Akson. Sisemi ili wengine wamuonee Wivu, wala sisemi ili yeye awe na Kiburi. Ila naongea kila ambacho ninaokiona Kwa Tulia mwenyewe.

Kama utapata Nafasi ya Kumsikia Tulia Akson akizungumza iwe kwa kuhojiwa au kuhutubia, utagundua kuwa hana tofauti na kina Kamala Harris au kina Hilary Clinton.

Utulivu!
Kujiamini!
Umahiri!
Hoja!
Ubobevu!,

Nimeona Watu wengi wanapokutana na Tulia katika mijadala wakimshindwa kwa Hoja. Unapozungumzia hoja Unazungumzia uwezo wa akili ya mtu kujenga mantiki, yaani kitu kieleweke. Wakati mwingine kwa lugha rahisi.

Tulia sijawahi kumsikia akijali uanamke wake au maumbile yake kama sehemu 6a kikwazo katika kazi zake.
Tena yeye hupendelea changamoto anapokutana na sisi wanaume.

Tulia hatajali kama wewe ni Waziri au Mheshimiwa, ukiwa bungeni kama ataona kuna jambo hujalitolea maelezo yaliyonyooka au hakuna hoja anauthubutu wa kukukosoa au kutaka kukuweka Sawa.
Kujadiliana na Tulia Akson itakupasa uwe na uwezo mkubwa kama yeye au umzidi ili usije ukaaibika.

Kwa mwanaume mwenye upeo mdogo lazima amwone Tulia kama Mjuaji, hasa pale atakaposhindwa kwa Hoja.

Tunaposema Wanawake wapewe nafasi tunahitaji wanawake wa mfano wa Tulia Akson. Wanawake wenye uwezo.

Sio Mwanamke anayelalamika hajapewa haki yake. Tunahitaji Wanawake wenye uwezo wa kudai haki zao wenyewe bila kusaidiwa. Hao ndio watakuwa na uwezo wa kuongoza.

Tulia Akson anauwezo wa kushika nafasi ya Urais katika nchi yetu na sio hivyo tuu hata kuongoza Nchi yoyote hapa Duniani. Kwa sababu anasifa za level za kimataifa.

Nimemaliza

Ni afadhali ya Zumaridi kuliko huyu kiumbe

😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛
 
..mara nyingi Dk.Tulia hana hoja ila hutumia zaidi UBABE unaotokana na nafasi yake akiwa Naibu Spika au Spika.

..ukitaka kumpima mwanasiasa kama ana hoja / uwezo ama la basi utalazimika kumpima akiwa nje ya mamlaka na mbeleko ya serikali au dola.

..ukimsikiliza hoja za Dk.Tulia anapoongea na wananchi wa kawaida nje ya Uspika wake utagundua kwamba ni mwanasiasa anayelaghai wananchi kwasababu wengi wao sio waelewa.

..Mwisho, Dk.Tulia ni mwanasheria kitaaluma. Je, ametumia wanasheria wake kwa manufaa ya watawala, au kwa manufaa ya wanyonge? Je, Dk.Tulia ni mwanasheria mtafuta ngawira na vyeo, au mwanasheria mtetezi wa haki?
Umeshakula like yangu
 
Mtu anaeiongezea serikali muda wa kutukaanga na mgao wa umeme?
Anakua na mihemko na ubabe lakini sio kama nibora kama hao uliomfananisha nao.
 
ani toka ametoa karii moja bungeni nainukuu Lama ilivyo kua " kuna wengine hawajawahi kuvusha hata shati bandarini ila utawakuta wanazungumzia kuhusu bandari" kwa maneno hayo ilitosha kushema me kuamini kwamba she is not enough to be a leader who should stand for the intentions of common people. sasa hajui Kia mpaka shati imeletwa toka China na bei ya sh 20000 manaake ni kutokana na- moja gharama za marighafi za utangenazeaji- mbili gharama za usafirishaji tatu kodi elekezi ya shati hiyo kuvushwa bandalini. kwahiyoo hakufikiria yote hayoo kama doctor. usimpambe kaka ukitegemea atakupa tonge no
 
Unazungumzia Zumaridi wa minara ya mbinguni au

Hili jakazi , Queen linalongára


1709977575441.jpeg
 
Back
Top Bottom