mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh 🙄 !CCM itaongoza Taifa letu mpaka mwisho wa Dunia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh 🙄 !CCM itaongoza Taifa letu mpaka mwisho wa Dunia
Exactly. Yaani Mimi kwa hapa kwetu mtu akishakuwa na madaraka, hasa yanayopatikana kwa kusimamia hila, inakuwa ngumu kuona uwezo wake halisi.Hamna kitu hapo. Watu mnasifia ujinga tu sijui mumelipwa Shillingi ngapi? Huyo Tulia bila LIFT ya Magufuli asingefika hapo alipofika. Alimfanyia nini Magufuli hadi akampa u Naibu Spika, ni siri yao
Kwenye duru za sheria wala siyo nguli kihivyo, nenda kaulize UDSM uone kama ana machapisho. Ukikuta ana machapisho nenda kayatest kwa Plagiarism application ndiyo uje hapa.
Watu eti wanamsifia kushinda kesi ya muta 200 mwaka 2015. Ile kesi hata mwanafunzi wa first year Law School angeshinda tu kwa kuwa tayari Jaji wa High Court alikuwa na maelekezo.
Mifano ipo mingiKiongozi gani Tanzania ambaye hakuwahi kuwa Chawa?
IPU ni nini?Vipi IPU hapo alishinda au hakushinda?
Rippti ya CAG ndo kipimo chake kama Spika, je amekiweza?Nashukuruuu Sanaaaa kwa kuliona hilo ambalo wengine tulishaliona tangia muda mrefu sana na kuandika sana humu jukwaani kwa kurudia rudia sana ,katika kueleza uwezo mkubwa wa kiakili na kiuongozi alio nao Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini. Bora wewe umejisemea ukweli maana mimi nikiandika naambiwa kuwa namtetea na kumpamba sana.ok ngoja nisiandike sana leo.
Ni kama WhatsApp group ya maspika wa bunge duniani, halafu yeye ndiyo admin..IPU ni nini?
Utulivu!
Kujiamini!
Umahiri!
Hoja!
Ubobevu!,
Ubarikiwe sanaKatika mtu ambaye ni kubwa jinga ni wewe
Machadomo watabisha watakuita wewe chawa.Habari za Sabato!
Sijawahi kumfahamu Mwanamke yeyote kwa hapa Tanzania mwenye uwezo kama Tulia Akson. Sisemi ili wengine wamuonee Wivu, wala sisemi ili yeye awe na Kiburi. Ila naongea kila ambacho ninaokiona Kwa Tulia mwenyewe.
Kama utapata Nafasi ya Kumsikia Tulia Akson akizungumza iwe kwa kuhojiwa au kuhutubia, utagundua kuwa hana tofauti na kina Kamala Harris au kina Hilary Clinton.
Utulivu!
Kujiamini!
Umahiri!
Hoja!
Ubobevu!,
Nimeona Watu wengi wanapokutana na Tulia katika mijadala wakimshindwa kwa Hoja. Unapozungumzia hoja Unazungumzia uwezo wa akili ya mtu kujenga mantiki, yaani kitu kieleweke. Wakati mwingine kwa lugha rahisi.
Tulia sijawahi kumsikia akijali uanamke wake au maumbile yake kama sehemu 6a kikwazo katika kazi zake.
Tena yeye hupendelea changamoto anapokutana na sisi wanaume.
Tulia hatajali kama wewe ni Waziri au Mheshimiwa, ukiwa bungeni kama ataona kuna jambo hujalitolea maelezo yaliyonyooka au hakuna hoja anauthubutu wa kukukosoa au kutaka kukuweka Sawa.
Kujadiliana na Tulia Akson itakupasa uwe na uwezo mkubwa kama yeye au umzidi ili usije ukaaibika.
Kwa mwanaume mwenye upeo mdogo lazima amwone Tulia kama Mjuaji, hasa pale atakaposhindwa kwa Hoja.
Tunaposema Wanawake wapewe nafasi tunahitaji wanawake wa mfano wa Tulia Akson. Wanawake wenye uwezo.
Sio Mwanamke anayelalamika hajapewa haki yake. Tunahitaji Wanawake wenye uwezo wa kudai haki zao wenyewe bila kusaidiwa. Hao ndio watakuwa na uwezo wa kuongoza.
Tulia Akson anauwezo wa kushika nafasi ya Urais katika nchi yetu na sio hivyo tuu hata kuongoza Nchi yoyote hapa Duniani. Kwa sababu anasifa za level za kimataifa.
Nimemaliza
Ni mtetezi wa haki!Mwisho, Dk.Tulia ni mwanasheria kitaaluma. Je, ametumia wanasheria wake kwa manufaa ya watawala, au kwa manufaa ya wanyonge? Je, Dk.Tulia ni mwanasheria mtafuta ngawira na vyeo, au mwanasheria mtetezi wa haki?
Shida ninayoona anayo, ni kuna muda anafanyaga mambo kukomoa yani ni kwamba utafanya nini sasa nimefanya.
Hana tofauti sana na ndungai.
Yani kama hakupendi basi atakukomoa hata kama anajua anachofanya si sahihi.
Basi anaweza kutumiwa na mafisadi na walowezi, na madonors maana kumbe ana udhaifu wa kutumika...uwezo wa kielimu anao, na ndio maana akafaulu vizuri na kufikia ngazi ya PhD.
..tatizo linakuja kwa jinsi watawala walivyomtumia, na jinsi Dk.Tulia alivyowatumikia mabosi wake.
Leo leo kwa mara ya kwanza nimetokea kukubali sana na nimekuelewa sana unajua kumuelewa mtu kama Dr Tulia inaitaji mtu uwe na jicho la tatu
Tulia ni mwanamke fulani hivi bright sana
C.C Pascal Mayalla