To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Ulitaka aandikeje?!😳🙄Hata wewe taikun unaandika hivi😳😳
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka aandikeje?!😳🙄Hata wewe taikun unaandika hivi😳😳
Si kila anaeshika hizo nafasi ana uwezo wa kuwa rais. Matter of fact ndio itakuwa jinsia ya mwisho kushika hiyo nafasiUpo sahihi.
Ila ninachozungumzia ni kuwa Tulia kwa uwezo wake anauwezo wa kuwa Rais wa nchi hii.
Mbeya wanamtaka Sugu 😆😆😆
Si kila anaeshika hizo nafasi ana uwezo wa kuwa rais. Matter of fact ndio itakuwa jinsia ya mwisho kushika hiyo nafasi
Baada ya Samia ,Rais ajaye ni Tulia
Unajua ni tulia amezidiwa na wanaume wangapi elimu?Unajua Tulia amewazidi Wanaume wangapi uwezo wa kielimu, kiuchumi, Kifikra, a Kiuongozi?
Kinamwambukusi sijui kama hata wanaelewa 😁😁Kwa sifa za ulimwengu wa Sasa
Tulia Akson anamuacha Mbali Sana Sugu.
Unajua ni tulia amezidiwa na wanaume wangapi elimu?
Kama elimu ndio kigezo chako you are so mistaken, kuna maprof, na phd holders kibao kabla ya tulia kupata hiyo phd. Unajua panel iliyo approve hiyo phd yake ili kuwa na asilimia ngapi wanaume?
Kinamwambukusi sijui kama hata wanaelewa 😁😁
Uzani upi boss wangu?Kwa Tanzania. Wanawake weñye uzani wa Tulia ni wachache Sana
Uzani upi boss wangu?
Nje ya mdahalo wenye kinga ya madaraka yake ni wa kawaida tu. Inshort hatishi hivyo. Ni kweli ana uwezo fulani, lakini hatishi kwa kiwango unachotaka tuamini.Sasa waweke pàmoja Wapewe mdahalo na Tulia Akson alafu utaelewa nazungumzia kitu gani.
Pale bungeni ni wabunge wachache Sana wenye uwezo wa kumpa challenge Kwa hoja huyo Tulia.
Anaongoza kwa ubora? Maana kipimo halisi ni namna anavyoendesha bunge letu.Elimu
Fikra Huru
Uzoefu katika uongozi hasa kuongoza Wasomi na watawala
Nje ya mdahalo wenye kinga ya madaraka yake ni wa kawaida tu. Inshort hatishi hivyo. Ni kweli ana uwezo fulani, lakini hatishi kwa kiwango unachotaka tuamini.
Anaongoza kwa ubora? Maana kipimo halisi ni namna anavyoendesha bunge letu.
Rais wa nn ?Habari za Sabato!
Sijawahi kumfahamu Mwanamke yeyote kwa hapa Tanzania mwenye uwezo kama Tulia Akson. Sisemi ili wengine wamuonee Wivu, wala sisemi ili yeye awe na Kiburi. Ila naongea kila ambacho ninaokiona Kwa Tulia mwenyewe.
Kama utapata Nafasi ya Kumsikia Tulia Akson akizungumza iwe kwa kuhojiwa au kuhutubia, utagundua kuwa hana tofauti na kina Kamala Harris au kina Hilary Clinton.
Utulivu!
Kujiamini!
Umahiri!
Hoja!
Ubobevu!,
Nimeona Watu wengi wanapokutana na Tulia katika mijadala wakimshindwa kwa Hoja. Unapozungumzia hoja Unazungumzia uwezo wa akili ya mtu kujenga mantiki, yaani kitu kieleweke. Wakati mwingine kwa lugha rahisi.
Tulia sijawahi kumsikia akijali uanamke wake au maumbile yake kama sehemu 6a kikwazo katika kazi zake.
Tena yeye hupendelea changamoto anapokutana na sisi wanaume.
Tulia hatajali kama wewe ni Waziri au Mheshimiwa, ukiwa bungeni kama ataona kuna jambo hujalitolea maelezo yaliyonyooka au hakuna hoja anauthubutu wa kukukosoa au kutaka kukuweka Sawa.
Kujadiliana na Tulia Akson itakupasa uwe na uwezo mkubwa kama yeye au umzidi ili usije ukaaibika.
Kwa mwanaume mwenye upeo mdogo lazima amwone Tulia kama Mjuaji, hasa pale atakaposhindwa kwa Hoja.
Tunaposema Wanawake wapewe nafasi tunahitaji wanawake wa mfano wa Tulia Akson. Wanawake wenye uwezo.
Sio Mwanamke anayelalamika hajapewa haki yake. Tunahitaji Wanawake wenye uwezo wa kudai haki zao wenyewe bila kusaidiwa. Hao ndio watakuwa na uwezo wa kuongoza.
Tulia Akson anauwezo wa kushika nafasi ya Urais katika nchi yetu na sio hivyo tuu hata kuongoza Nchi yoyote hapa Duniani. Kwa sababu anasifa za level za kimataifa.
Nimemaliza
Kitu hasa kafanya hadi aweze kuwa rais?Habari za Sabato!
Sijawahi kumfahamu Mwanamke yeyote kwa hapa Tanzania mwenye uwezo kama Tulia Akson. Sisemi ili wengine wamuonee Wivu, wala sisemi ili yeye awe na Kiburi. Ila naongea kila ambacho ninaokiona Kwa Tulia mwenyewe.
Kama utapata Nafasi ya Kumsikia Tulia Akson akizungumza iwe kwa kuhojiwa au kuhutubia, utagundua kuwa hana tofauti na kina Kamala Harris au kina Hilary Clinton.
Utulivu!
Kujiamini!
Umahiri!
Hoja!
Ubobevu!,
Nimeona Watu wengi wanapokutana na Tulia katika mijadala wakimshindwa kwa Hoja. Unapozungumzia hoja Unazungumzia uwezo wa akili ya mtu kujenga mantiki, yaani kitu kieleweke. Wakati mwingine kwa lugha rahisi.
Tulia sijawahi kumsikia akijali uanamke wake au maumbile yake kama sehemu 6a kikwazo katika kazi zake.
Tena yeye hupendelea changamoto anapokutana na sisi wanaume.
Tulia hatajali kama wewe ni Waziri au Mheshimiwa, ukiwa bungeni kama ataona kuna jambo hujalitolea maelezo yaliyonyooka au hakuna hoja anauthubutu wa kukukosoa au kutaka kukuweka Sawa.
Kujadiliana na Tulia Akson itakupasa uwe na uwezo mkubwa kama yeye au umzidi ili usije ukaaibika.
Kwa mwanaume mwenye upeo mdogo lazima amwone Tulia kama Mjuaji, hasa pale atakaposhindwa kwa Hoja.
Tunaposema Wanawake wapewe nafasi tunahitaji wanawake wa mfano wa Tulia Akson. Wanawake wenye uwezo.
Sio Mwanamke anayelalamika hajapewa haki yake. Tunahitaji Wanawake wenye uwezo wa kudai haki zao wenyewe bila kusaidiwa. Hao ndio watakuwa na uwezo wa kuongoza.
Tulia Akson anauwezo wa kushika nafasi ya Urais katika nchi yetu na sio hivyo tuu hata kuongoza Nchi yoyote hapa Duniani. Kwa sababu anasifa za level za kimataifa.
Nimemaliza
Sijali jinsia boss, najali ubora, maana ushindani wake sio phyiscal. Ukiwa na ubora wa uongozi haijalishi jinsia.Kwa jinsia Yake anatisha.
Ila kiumeni anaweza kuwa wakawaida
Replace neno "uzani" by "upumbavu", ndiyo ita make senseKwa Tanzania. Wanawake weñye uzani wa Tulia ni wachache Sana