Ni ngumu sana kuwa msemaji wa Simba chini ya CEO Barbara

Ni ngumu sana kuwa msemaji wa Simba chini ya CEO Barbara

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Simba ni kubwa mno kuwa na CEO kama Barbara.

Kwa waislamu ni dhambi kusema uongo makusudi, Ahmed Ally kijana wa watu anapitia kipindi kigumu sana kinachomfanya aharibu dini yake. Analazimika kusema uongo kwa kujua au kutokujua ili tu kuifunika Simba isikae uchi. Atafanya hivyo hadi lini?
 
Rubbish
Simba ni kubwa mno kuwa na CEO kama Barbara.

Kwa waislamu ni dhambi kusema uongo makusudi, Ahmed Ally kijana wa watu anapitia kipindi kigumu sana kinachomfanya aharibu dini yake. Analazimika kusema uongo kwa kujua au kutokujua ili tu kuifunika Simba isikae uchi. Atafanya hivyo hadi lini?
 
Simba ni kubwa mno kuwa na CEO kama Barbara.

Kwa waislamu ni dhambi kusema uongo makusudi, Ahmed Ally kijana wa watu anapitia kipindi kigumu sana kinachomfanya aharibu dini yake. Analazimika kusema uongo kwa kujua au kutokujua ili tu kuifunika Simba isikae uchi. Atafanya hivyo hadi lini?
Hakuna Watu wapumbavu km wale wanaongiza udini na dini ktk Mambo technical km haya ya kiutawala.

Ahmed hayuko pale Simba kuhabarisha Yale unayotaka ww au yanayokufurahisha au yale anayopenda yeye Bali anatangaza kile ambacho uongozi unamwelekeza. Uongozi hauko hivyo unavyofikiri wewe.

Basi mshauri akaajiriwe msikitini Ili alinde huo uislamu wake.
 
Mbona uto mna muandama sana huyu dada wa watu? Nyie mshachukuwa ubingwa mkaushieni basi.
 
Morison anawachezea tu akili mashabiki wa simba. Kitambo tu alishasaini miaka miwili Yanga.
 
Simba kweli ina maadui wengi jambo likitokea simba kila mwandishi wa habari stafanya interview na watu wa michongo ila mpaka leo haijulikani kwa nn ntibanzonkiza kaondoka yanga na waandishi wamekaa kimya tu.
 
mambo mengne bhana [emoji3][emoji3]
20220701_224310.jpg
 
Morison anawachezea tu akili mashabiki wa simba. Kitambo tu alishasaini miaka miwili Yanga.
Mbona Morrison mwenyewe amekiri kuwa Simba ndiyo wamemtupia virago? Huu uwongo unawasaidia nini? Kama kuna watu wanachezeshwa kiduku na huyu mchizi ni nyie washabiki na viongozi wa Utopolo. Huyu mkora aliwakimbia kihuni,mkatumia mamilioni kumpeleka CAS akawabwaga na mkamlipa mamilioni mengine na leo tena mnamshobokea. Hivi zinawatosha kweli au ndiyo kama alivyosema zeruzeru?
FB_IMG_1655579378566.jpg
 
Hakuna Watu wapumbavu km wale wanaongiza udini na dini ktk Mambo technical km haya ya kiutawala.

Ahmed hayuko pale Simba kuhabarisha Yale unayotaka ww au yanayokufurahisha au yale anayopenda yeye Bali anatangaza kile ambacho uongozi unamwelekeza. Uongozi hauko hivyo unavyofikiri wewe.

Basi mshauri akaajiriwe msikitini Ili alinde huo uislamu wake.
Kumlazimisha mtumishi aseme uongo na mtu huyo akaongea huo uongo ni dhambi bila kujali dini. Hata zile amri 10 za Musa Kuna moja inakataza kumsingia mtu uongo. Morrison alisingiziwa kuwa ana matatizo ya kifamikia wakati hakuwa na matatizo, na Ahmed Ally akaambiwa aseme na kuandika hivyo. Hii ni dhambi au sio?
 
TIME WILL TELL.
Manara ameshaanza kujiumbua mwenyewe taratibu.
Morrison his time will come
🦁🦁#LUNYASI
 
Pumba tupu
Mifano,
1. Alisema Morrison ana matatizo kwao, kumbe kasema uongo.
2. Alisema Aziz Ki anakuja Simba, hakuja
3. Alisema Manzuki anakuja Simba, hakuja
4. Alisema Simba Kuna mzungu, kumbe uongo ni Mrangi wa Kondoa.

Anapotoshwa na uongozi nayeye bila kuhoji anayapeleka hewani hivyohivyo
 
Back
Top Bottom