Kerosine Bal
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 247
- 231
Bahasha bahasha na kujiendekeza na njaa kwa waandishi. Afu imekuwa kama desturi yao kuwa machawa sasa wamekuwa makunguni na makupe kabisa.Simba kweli ina maadui wengi jambo likitokea simba kila mwandishi wa habari stafanya interview na watu wa michongo ila mpaka leo haijulikani kwa nn ntibanzonkiza kaondoka yanga na waandishi wamekaa kimya tu.