Ni ngumu sana kuwatoa Wasudan kwao, Simba ashawahi kushinda nyumbani akaenda kufa Sudan!

Vladivostok

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2022
Posts
307
Reaction score
1,387
Umofia kwenu.

Ndugu zangu ni vigumu mno kuwatoa Wasudan kwao, ninasema hivI kutokana uzoefu nilikuwanao. Nilishwahi kuishi miaka miwili pale Sudan, kiufupi jamaa ni makatili ile mbaya.

Simba alishawahi kushinda tatu kwa mtungi kwa Mkapa akiwafungu Ahli Shandy, ila alienda kufa nne bin sifuri kule Sudan. Simba hawakuamini macho yao.

Kifupi safari ya Yanga imeshia tayari kwa Mkapa.
 
Ukatili upi,mpira si una sifa zake na sheria? Au wanaenda kupigana masubwi kiasi cha kuonyeshana ukatili?
 

USAHIHI KIDOGO:

U/Taifa
Simba 3-0 Al Ahly Shandy (1st leg)
Wafungaji Haruna Moshi Boban, Mafisango, Okwi

Sudán
FT Shandy 3-0 Simba

Simba akatolewa kwenye mipigo ya penalty 9-8
 
USAHIHI KIDOGO:

U/Taifa
Simba 3-0 Al Ahly Shandy (1st leg)
Wafungaji Haruna Moshi Boban, Mafisango, Okwi

Sudán
FT Shandy 3-0 Simba

Simba akatolewa kwenye mipigo ya penalty 9-8
Kumbe ni Al Ahly Shandy sio Al Hilal

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
 
Yanga ni wababe wa shughuli za ugenini, kama hawajawahi kutolewa kwao Sasa ndio wanaenda kutolewa kwao, kama mna ubavu tukutane Makundi.
 
Yanga ni wababe wa shughuli za ugenini, kama hawajawahi kutolewa kwao Sasa ndio wanaenda kutolewa kwao, kama mna ubavu tukutane Makundi.
Tunaomba records za huo ubabe wa ugenini. Au ni ubabe wa mdomo tu?
 
Usikariri we kilaza
 
Acha wakatatuliwe malinda huko sudan, maana makelele yalizidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…