Ni Ngumu Simba Kumtoa Wydad de Casablanca

Ni Ngumu Simba Kumtoa Wydad de Casablanca

Mkubwa
Ili ufike nusu fainali inabidi ucheze robo

Ngoja niishie hapa
Maana akili yako unaijua wewe
 
Mkuu mleta mada kasema eti hao waydad wameinvest mpaka kwenye game psychology.

Yes hadi Kwenye psychology. Mfano timu ya Raja wao walisema wazi sisi mpira popote tunaleta matokeo. Tunaenda kucheza mpira kutafuta matokeo iwe ugenini au nyumbani.

Walipokuja kwa Mkapa, Simba bado wanaishi kwenye obsolete ideas kuwa kwa mkapa hatoki mtu. Walitandikwa goli za kutosha tu, tena jamaa walikuwa wanacheza kawaida tu bila kukamia au kutumia nguvu.

Mipira yote ya Chama ilikuwa inazuiwa kirahisi sana bila kutumia nguvu. Kuwa na Slogan mara kwa mara bila kuwekeza Kwenye na Scouting ni kupotezea watu muda.

Kama ilivyofanya Raja, Wydad atafanya kitu kilekile. Tena Simba this time inaweza kulowa sana
 
Vipi yanga yupo CAF CHAMPION LEAGUE na Simba mbovu ipo shirikisho acha ushabiki maandazi utopolo ni mbovu

Tarehe 16. Utapata jawabu.

This time kila mchezaji amekamia kuifunga Simba , kwa beki ya Onyango , Mayele atawapiga kama 3. Bado ile mipira ya faulo ile mipira ya Manula Ha Ha
 
Wapumbavu sana hawa kima wa pori la Utopolo

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app

Yanga ya Sasa sio Yanga ya Kipindi kile . Trust the process boss . Achana na mambo ya Resistance to change . Kama bado upo Kwenye Obsolescence hilo ni tatizo. ILA jawabu rasmi la hoja hii utaiona tarehe 16, tunaanza na Wewe.

Kisha utaona Rivers anavotoka kilaini sana

Nyie kazi kuishia Robo fainali kila mwaka. Sisi tunakwenda mbele zaidi
 
Cha kushangaza wanaoihofia Waydad ni hawa mburula Utopolo wanaoshiriki Loosers cup baada ya kushindwa kuhimili vishindo vya champions League lakini Simba wenyewe hawana wasiwasi,kuna nyuzi zaidi ya ishirini kila siku humu za Utopolo kuihofia Waydad hivi huu ni ugonjwa gani?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app

Ha ha ..... nani kasema hamna wasiwasi ..... Nasema tena , Kama unawaza kuitoa Wydad Kwenye Robo fainali ...... tambua kuwa una tatizo la afya ya akili

Hata mkifinga goli moja taifa, hamuwezi kuitoa Wydad.

Hamuwezi sababu hamna wachezaji wa kuwavusha hapo.
 
Halafu Yanga anayezungumzwa kwamba kafanya uwekezaji mkubwa na ana kikosi imara Yuko kombe la loosers . Simba mbovu yuko klabu bingwa .

Kweli hii nchi haitaishiwa maajabu.

Trust the process
 
Yanga haipo relative bila kuitaja Simba.....
Only way ya yanga kuzungumzika ni kuitaja na Simba.
Team la wazee halina mvuto tena.
 
Ndio mmeishia hapo . Zone of Comfort
Sasa wewe
Huoni this is competition

Kwa hiyo wewe yanga
Kuishia hatua za mwanzo na wewe ulikua kwenye comfort zone au?

This competition needs experience
Na experience yenyewe ndo tunaipatia humu kwenye kujaribu

Simba nahisi kwa waliofuzu mpaka sahivi ni moja ya timu mbili za chini kwenye rank ya CAF
Na sisi ni wa 9 investment ni ndogo by miles tofauti na wengine
Hata tukatoka robo tena sitolaumu

Maana with failure inakuja mbinu mpya
Nguvu itazidi kuongezwa mpaka tutakapofika nusu fainali
Hakuna mtu asiyetaka kufika nusu fainali

Timu yako isikupe kiburi
Mara ya mwisho simba anashiriki CAFCC naye alifika hapa ulipo
 
Tungoje dakika 90 za dulu ya kwanza hapa Kwa mkapa, ndipo tutapata majibu sahihi.[emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Shika maneno yangu mkuu..."siku SIMBA ikiitoa WYDAD ..Yule The Hon. Hayati aliye changanya mchanga wa Tanganyika na Z'bar atafufuka kuchanganya na Mchele wa USANGU na Wa MAGUGU na Mbeya na Manyara itakuwa ni Nchi Moja....niko palee📌🔨😎
 
Mark my words,
Game ya Simba vs Wydad 1-0
Rivers utd vs Yanga 2-1 ,

nimekujibu kwa Fact huu sio utabiri ila ndo matokeo yatakuw hivyo. Game za maludiano nitakuja pia na Matokeo yake
 
Naona comments nyingi za kupeana moyo ; tena kutoka kwa waandishi wa habari wakubwa.

Watu wanaandika magazeti na story za half lela ulela . Hii yote ni kwa sababu tunajua kuwa tuna poor investment and poor scouting. Ndio maana tunatumia maneno mengi sana.

Nimeshawahi kusema hapa kuwa Mpira ni Investment, sio matangazo au blah blah . Lakini siku zote hatujifunzi. Sababu ya Kaizer kututoa last time , was an investment and poor scouting( scouting za kitapeli).

Mabadiliko ya Yanga kwa sasa ni kutokana na Investment, hata kama ni ndogo, na kama Yanga akifanya Investment zaid na Club ikawa na long term plan basi ndani ya miaka 3 ijayo anakwenda kuwa Bingwa wa Africa kama hii consistency ya uwekezaji usio na kelele za kizaramo kama kwa mwafulani zikiendelea.

Simba haina Investment ya kuitoa Wydad , na kudhani kuwa Simba ataitoa Wydad ni moja ya tatizo la afya ya akili ( Poor Mental Health)

Mpira sio kujaza watu au kutoa motivation words kama tupo vitani. Wakati watu wanatumia nguvu nyingi kufanya Investment, wengine wanashinda mitandaoni na kupiga kelele kuwa anapata Hasara, haya ndiyo madhara ya utajiri wa kurith. Kama unapata hasara mbona bado upo, ni another form of UTAPELI wa Mwafulani.

Well, alichofanya Raja ndiyo atakachofanya Wydad. Mark my Words. Hakuna mambo ya Sugar Coat , au mambo ya Inshallah inshallah. Kwanza Wydad kafurahi kuwa na Simba, njia ya kusonga kwake ni kama kutoa unywele kwenye maziwa.

Washabiki wa SSC tujiandae kisaikolojia, hatuna uwezo wa kuitoa Wydad , kama tunawaza kuitoa Wydad kwa uwepo wa Chama, imekula kwetu.

Investment matters a lot , Ahly
Ilikuwa kidogo isiende robo fainali, Investment kati ya Hilal na Ahly na quality ya wachezaji ndiyo iliyoamua wa kwenda robo fainali.

Mpira haujengwi kwa kusumbua watu mitaani na matarumbeta, it's all about investment and scouting ya kibabe.

Yanga anayo nafasi kwenda Nusu fainali kwa asilimia 60%, ni muda wa Yanga, tukubali hizi Timing and let's cherish for their success.

Huu mwaka Yanga anakwenda kuonesha utofauti wa investment and process. Simba mara zote anafika robo fainali, kombe la maluza au Klabu Bingwa: katika Miaka 5 mfululizo, safari yake inaishia robo fainali and yule Muhindi anatuaminisha hayo ndiyo mafanikio. It's awkward kama kila mara unaishia hatua hiyo hiyo; that means you are not learning and huna growth path and long term goals.

It's OVER now , Tanzaania kupitia Dar es salaam Young Africans (Yanga ) anakwenda kuvunja huu mwiko na kutinga nusu fainali ambapo SSC ameshindwa kuvuka for the past 5 years.

Nawatakia kila heri Simba kwenye game yao na Wydad next two weeks , but in truth , ninajua simba haina madhara kwa Wydad kwa namna yoyote ile. Yaani sio game ambayo ninashauku ya kuiona, kwa sababu matokeo yapo wazi.

Game ya Rivers na Yanga, inatia hamasa kwa sababu hata investment zao zinalingana na uwezo pia wa players hawajaachana sana. Anything can happen.
Si hamuwezi ninyi ,sio Simba Sc ,tumbaku mbichi ninyi
 
Mark my words,
Game ya Simba vs Wydad 1-0
Rivers utd vs Yanga 2-1 ,

nimekujibu kwa Fact huu sio utabiri ila ndo matokeo yatakuw hivyo. Game za maludiano nitakuja pia na Matokeo yake
Simba V Wydad 0-2
2nd Leg:- Wydad 3-0

Rivers v Yanga 1-1
2nd Leg Yanga 3-1 Rivers...📌🔨
 
Naona comments nyingi za kupeana moyo ; tena kutoka kwa waandishi wa habari wakubwa.

Watu wanaandika magazeti na story za half lela ulela . Hii yote ni kwa sababu tunajua kuwa tuna poor investment and poor scouting. Ndio maana tunatumia maneno mengi sana.

Nimeshawahi kusema hapa kuwa Mpira ni Investment, sio matangazo au blah blah . Lakini siku zote hatujifunzi. Sababu ya Kaizer kututoa last time , was an investment and poor scouting( scouting za kitapeli).

Mabadiliko ya Yanga kwa sasa ni kutokana na Investment, hata kama ni ndogo, na kama Yanga akifanya Investment zaid na Club ikawa na long term plan basi ndani ya miaka 3 ijayo anakwenda kuwa Bingwa wa Africa kama hii consistency ya uwekezaji usio na kelele za kizaramo kama kwa mwafulani zikiendelea.

Simba haina Investment ya kuitoa Wydad , na kudhani kuwa Simba ataitoa Wydad ni moja ya tatizo la afya ya akili ( Poor Mental Health)

Mpira sio kujaza watu au kutoa motivation words kama tupo vitani. Wakati watu wanatumia nguvu nyingi kufanya Investment, wengine wanashinda mitandaoni na kupiga kelele kuwa anapata Hasara, haya ndiyo madhara ya utajiri wa kurith. Kama unapata hasara mbona bado upo, ni another form of UTAPELI wa Mwafulani.

Well, alichofanya Raja ndiyo atakachofanya Wydad. Mark my Words. Hakuna mambo ya Sugar Coat , au mambo ya Inshallah inshallah. Kwanza Wydad kafurahi kuwa na Simba, njia ya kusonga kwake ni kama kutoa unywele kwenye maziwa.

Washabiki wa SSC tujiandae kisaikolojia, hatuna uwezo wa kuitoa Wydad , kama tunawaza kuitoa Wydad kwa uwepo wa Chama, imekula kwetu.

Investment matters a lot , Ahly
Ilikuwa kidogo isiende robo fainali, Investment kati ya Hilal na Ahly na quality ya wachezaji ndiyo iliyoamua wa kwenda robo fainali.

Mpira haujengwi kwa kusumbua watu mitaani na matarumbeta, it's all about investment and scouting ya kibabe.

Yanga anayo nafasi kwenda Nusu fainali kwa asilimia 60%, ni muda wa Yanga, tukubali hizi Timing and let's cherish for their success.

Huu mwaka Yanga anakwenda kuonesha utofauti wa investment and process. Simba mara zote anafika robo fainali, kombe la maluza au Klabu Bingwa: katika Miaka 5 mfululizo, safari yake inaishia robo fainali and yule Muhindi anatuaminisha hayo ndiyo mafanikio. It's awkward kama kila mara unaishia hatua hiyo hiyo; that means you are not learning and huna growth path and long term goals.

It's OVER now , Tanzaania kupitia Dar es salaam Young Africans (Yanga ) anakwenda kuvunja huu mwiko na kutinga nusu fainali ambapo SSC ameshindwa kuvuka for the past 5 years.

Nawatakia kila heri Simba kwenye game yao na Wydad next two weeks , but in truth , ninajua simba haina madhara kwa Wydad kwa namna yoyote ile. Yaani sio game ambayo ninashauku ya kuiona, kwa sababu matokeo yapo wazi.

Game ya Rivers na Yanga, inatia hamasa kwa sababu hata investment zao zinalingana na uwezo pia wa players hawajaachana sana. Anything can happen.

Takataka tupu zimeandikwa hapa
 
Hii ni Motivation words. Huwezi kupanda mahind uvune maarage. Haiwezekani

Simba hawezi kumtoa Wilydad never . Tutarudi hapa

Yanga inaombewa kucheza Super League, kwa hakika Yanga hawana kitu
 
Back
Top Bottom