Ni nini chamvutia mbu masikioni?

Ni nini chamvutia mbu masikioni?

Maswali mengine bana, mbu ana receptors ambazo husaidia hayo. Sasa tukianza kuzungumzia odorant receptor mjadala utaharibika. Kama una muda soma hili chapisho, very interesting mtu mwenye malaria (mwenye parasites) mbu hupenda zaidi kuuma yeye sababu ni rahisi hapo, adapation na evolution parasites waweze kuwa propagated kwenye population.

Jibu swali, receptors zitajuaje Hb na Fe content ya damu kabla ya kunyonya damu ?

Hiyo paper uliyoweka hapo ndio kwanza ina cripple idea ya mbu kufuata watu wenye Fe content kubwa. Umebandika paper ambayo hai enhance your argument.
 
Jibu swali, receptors zitajuaje Hb na Fe content ya damu kabla ya kunyonya damu ?

Hiyo paper uliyoweka hapo ndio kwanza ina cripple idea ya mbu kufuata watu wenye Fe content kubwa. Umebandika paper ambayo hai enhance your argument.

Mr Investigator!! Ule uchunguzi wako wa Dr Masao na THI umefikia wapi? Then tutaendelea na maswala ya mbu naona umekuwa mgumu kuelewa...
 
Mr Investigator!! Ule uchunguzi wako wa Dr Masao na THI umefikia wapi? Then tutaendelea na maswala ya mbu naona umekuwa mgumu kuelewa...

Daktari naona ume break down under light questioning ha a aaa haaa ahaaaa aaaaaaa

Dakta Ushirombo maswali ya mbu we ndio umeya entertain ha ha haahaaaaa ah ha a a aaaaaaaa a aa

Jamani sina mbavu...

Dakta Ushiromba umeshindwa kujibu ka swali kadogo tu, umesema mbu wanafuata mtu kutegemeana na Haemoglobin na Iron content ya damu yake. Sasa unaulizwa mbu atajuaje quality ya damu mtu kabla hajakung'ataaaa haa haaa a ahaaaaa ahaaaa aaaaaaaaa

Oh my gosh!!! This is hilarious!!

Daktari ka panic, labda niondoke hapa jamvini, maana labda nawafukuzia wataalam wenu! ha a ahaa haa
 
Daktari ka break down under light questioning ha a aaa haaa ahaaaa aaaaaaa

Dakta Ushirombo maswali ya mbu we ndio umeya entertain ha ha haahaaaaa ah ha a a aaaaaaaa a aa

Jamani sina mbavu...

Dakta Ushiromba umeshindwa kujibu ka swali kadogo tu, umesema mbu wanafuata mtu kutegemeana na Haemoglobin na Iron content ya damu yake. Sasa unaulizwa mbu atajuaje quality ya damu mtu kabla hajakung'ataaaa haa haaa a ahaaaaa ahaaaa aaaaaaaaa

Oh my gosh!!! This is hilarious!!

Daktari ka panic, labda niondoke hapa jamvini, maana labda nawafukuzia wataalam wenu! ha a ahaa haa

Mkuu Kuhani (the investigator)

Many species of mosqutoes, including the major malaria vector Anopheles gambiae utilizes CO2 and 1- octen -3- ol as alfactory cues in host seeking behaviours, that underlies their vectorial capacity. Molecular and cellular basis of such alfactory responses remains largely unknown. Kwa kutumia maendeleo makubwa ya kisayansi molecular and physiological approaches coupled with systematic functional analysis it has been possible to define complete alfactory sensory map of An. gambiae. These alfactory appendages mediates the detection of these compounds in host, mfano Fe content, viatilishi na harufu mbali mbali.

Kuna three alfactory receptor neurons (ORN) ambazo zimekuwa characterized so far, ambazo ziko organized in stereotyped triads within the maxillary palp, capacited peg sensillum population. One ORN is CO2 responsive which is characterized by the coexpression of other three receptors that confer CO2 responses. Other ORN express characteric odorant receptor Anopheles gambie Odorant Receptors (AgOR) that are responsible for their invivo alfacory response. Mosqutoes sensory alfactors ndizo hupelekea mbu kupenda kuuma binadamu na si viumbe wengine, ama kupenda mtu X na siyo Y, Sasa studies maabala zimeangalia zaidi kwanini X anashambuliwa zaidi kuliko Y na majibu mbali mbali yameweza kuelezea hicho mfano, Fe concetration, quality ya damu, joto etc. Mbu ana alfacory sensory neurons ambazo huwa zinarespond tofauti kulingana na attractants za harufu na sababu zingine hapo juu.

Sasa Kuhani inaonyesha wewe hutumia zaidi spinal cord kufikiri na si brain, naomba usiharibu huu mjadala, kama ilivyo kawaida yako. Anzisha thread yako nitakufata. Mshikaji wewe ni mjuaji sana unajua kila kitu achia wengine wajipatie elimu ya bure, mabishano ama kuonyeshana wewe unajua zaidi huwa hayajengi, nimekuuliza zaidi ya mara 5 kuhusu uchunguzi wako wa Dr Masao na THI huwa huna jibu usikomalie kitu usichojua. Think intellectually!

Thanks
 
Ndio zake huyo KU-HA-NI kila kitu anajua yeye, kazi yake kukosoa kila kitu kitakachosemwa na mtu mwingine yeyote isipokuwa yule Fundi Machundo!! Mwanasheria yeye, daktari yeye, Investigator yeye, police yeye, mwandishi wa habari yeye, engineer yeye, almradi tafrani...yaani kila kitu hapa dunia basi lazima Ku-HA-ni ni mjuvi zaidi ya mwingine yeyote.

Swali kwako mjuaji KU-ha_NI, kuna uhusiano gani kati ya Hb na Fe ktk damu??? kwanini izo receptors za mbu zisijue conc ya Hb na Fe kwa damu kabla ya kunyonya hiyo damu...?

jibu hayo maswali, usirukeruke kama unacheza "ma-rede"!!! nitapita tena hapa in two hours, pls nikute majibu...leo ndio itakuwa mwisho wa hii tabia yako ya kutaka sifa na kutoa watu nishai, wakti wewe ndio hujui!!

chinks in da mood!!

Chinkala Thanks, kwa kweli unamjua Kuhani, jamaa anajua kila kitu kazi yake ni kuharibu kila thread , nimejitahidi kumjibu kiundani namsubiri tena sijui yukoje huyu jamaa....ana multiple ids hapa JF duuu you can do better kuhani...all in all Kuhani screws up big tyme in most threads.

Ushi
 
Hivi kwa nini ukilala mbu huwa anapenda kusogea masikioni na kupiga mluzi wake unaokera sana?

Je kuna maelezo yoyote ya kisayansia yanayoelezea hii tabia mbaya sana ya viumbe hawa?



Hahahhaha mkuu leo baada ya kusoma hiii thread yako nimecheka sina mbavu.........Maana daa babu kubwa swali la mwezi hilo..........Daaa mimi hapa sina la kuchangia zaidi ya kicheko tu
 
Ndio zake huyo KU-HA-NI kila kitu anajua yeye, kazi yake kukosoa kila kitu kitakachosemwa na mtu mwingine yeyote isipokuwa yule Fundi Machundo!! Mwanasheria yeye, daktari yeye, Investigator yeye, police yeye, mwandishi wa habari yeye, engineer yeye, almradi tafrani...yaani kila kitu hapa dunia basi lazima Ku-HA-ni ni mjuvi zaidi ya mwingine yeyote.

Swali kwako mjuaji KU-ha_NI, kuna uhusiano gani kati ya Hb na Fe ktk damu??? kwanini izo receptors za mbu zisijue conc ya Hb na Fe kwa damu kabla ya kunyonya hiyo damu...?

jibu hayo maswali, usirukeruke kama unacheza "ma-rede"!!! nitapita tena hapa in two hours, pls nikute majibu...leo ndio itakuwa mwisho wa hii tabia yako ya kutaka sifa na kutoa watu nishai, wakti wewe ndio hujui!!

chinks in da mood!!

Mkuu! Kwa taarifa yako Fundi Machundo aliishawahi kuumwa na haka kajamaa kanachojiita Kuhani. Ndiyo maana sasa hivi anafikiria mara mbili kabla ya kuweka post maana anajua kuna wakina Kuhani, Pundit, Mama, YNiM, NN na wengine ambao watazisoma kwa makini na kama atakuwa ametia fix hawatachelea kumwambia? FYI kukosolewa ni haki na inazidisha uelewa. Ukikosolewa, chukua kama ni challenge kwako kujenga hoja zako vizuri. Kukacha na kuingiza hoja zisizohusika hakusaidii jambo. Hili ni pori ndugu yangu na hata wakina Fundi machundo wanaweza kwenda mano a mano na maprofesori. Tukishindwa, tunakubali. There is no shame in that maana hakuna anayenijua hapa.

Word of caution. Usiingie kwa majigambo kuwa utamshikisha adabu Kuhani. Wengi walifanya hivyo na sio wote waliofanikiwa. Usimpinge mtu, pinga hoja. Kuhusu sifa, mbona huyu bwana alikuwa Kuhani Mkuu akajiteremsha kuwa Kuhani. Angekuwa mpenda sifa si angebaki na ukuu? Tena misimamo yake mara nyingi haifuraishi wengi. Hii kwangu mimi, si dalili, ya mpenda sifa.

Lakini si umeishasema kuwa Kuhani na Fundi Machundo ni damu damu! Hilo sipingi maana yeye ni mmoja wa watu ninaowaheshimu sana.

Amandla........
 
Back
Top Bottom