Maswali mengine bana, mbu ana receptors ambazo husaidia hayo. Sasa tukianza kuzungumzia odorant receptor mjadala utaharibika. Kama una muda soma hili chapisho, very interesting mtu mwenye malaria (mwenye parasites) mbu hupenda zaidi kuuma yeye sababu ni rahisi hapo, adapation na evolution parasites waweze kuwa propagated kwenye population.
Jibu swali, receptors zitajuaje Hb na Fe content ya damu kabla ya kunyonya damu ?
Hiyo paper uliyoweka hapo ndio kwanza ina cripple idea ya mbu kufuata watu wenye Fe content kubwa. Umebandika paper ambayo hai enhance your argument.
Mr Investigator!! Ule uchunguzi wako wa Dr Masao na THI umefikia wapi? Then tutaendelea na maswala ya mbu naona umekuwa mgumu kuelewa...
Ushi na wewe wajibu hivi siku hizi?
Will come back mama wacha nilale niko hoi bin taabani....
Mr Investigator!! Ule uchunguzi wako wa Dr Masao na THI umefikia wapi? Then tutaendelea na maswala ya mbu naona umekuwa mgumu kuelewa...
Daktari ka break down under light questioning ha a aaa haaa ahaaaa aaaaaaa
Dakta Ushirombo maswali ya mbu we ndio umeya entertain ha ha haahaaaaa ah ha a a aaaaaaaa a aa
Jamani sina mbavu...
Dakta Ushiromba umeshindwa kujibu ka swali kadogo tu, umesema mbu wanafuata mtu kutegemeana na Haemoglobin na Iron content ya damu yake. Sasa unaulizwa mbu atajuaje quality ya damu mtu kabla hajakung'ataaaa haa haaa a ahaaaaa ahaaaa aaaaaaaaa
Oh my gosh!!! This is hilarious!!
Daktari ka panic, labda niondoke hapa jamvini, maana labda nawafukuzia wataalam wenu! ha a ahaa haa
Ndio zake huyo KU-HA-NI kila kitu anajua yeye, kazi yake kukosoa kila kitu kitakachosemwa na mtu mwingine yeyote isipokuwa yule Fundi Machundo!! Mwanasheria yeye, daktari yeye, Investigator yeye, police yeye, mwandishi wa habari yeye, engineer yeye, almradi tafrani...yaani kila kitu hapa dunia basi lazima Ku-HA-ni ni mjuvi zaidi ya mwingine yeyote.
Swali kwako mjuaji KU-ha_NI, kuna uhusiano gani kati ya Hb na Fe ktk damu??? kwanini izo receptors za mbu zisijue conc ya Hb na Fe kwa damu kabla ya kunyonya hiyo damu...?
jibu hayo maswali, usirukeruke kama unacheza "ma-rede"!!! nitapita tena hapa in two hours, pls nikute majibu...leo ndio itakuwa mwisho wa hii tabia yako ya kutaka sifa na kutoa watu nishai, wakti wewe ndio hujui!!
chinks in da mood!!
Hivi kwa nini ukilala mbu huwa anapenda kusogea masikioni na kupiga mluzi wake unaokera sana?
Je kuna maelezo yoyote ya kisayansia yanayoelezea hii tabia mbaya sana ya viumbe hawa?
Ndio zake huyo KU-HA-NI kila kitu anajua yeye, kazi yake kukosoa kila kitu kitakachosemwa na mtu mwingine yeyote isipokuwa yule Fundi Machundo!! Mwanasheria yeye, daktari yeye, Investigator yeye, police yeye, mwandishi wa habari yeye, engineer yeye, almradi tafrani...yaani kila kitu hapa dunia basi lazima Ku-HA-ni ni mjuvi zaidi ya mwingine yeyote.
Swali kwako mjuaji KU-ha_NI, kuna uhusiano gani kati ya Hb na Fe ktk damu??? kwanini izo receptors za mbu zisijue conc ya Hb na Fe kwa damu kabla ya kunyonya hiyo damu...?
jibu hayo maswali, usirukeruke kama unacheza "ma-rede"!!! nitapita tena hapa in two hours, pls nikute majibu...leo ndio itakuwa mwisho wa hii tabia yako ya kutaka sifa na kutoa watu nishai, wakti wewe ndio hujui!!
chinks in da mood!!