Massawejr
Member
- Jul 22, 2022
- 19
- 23
Muda mwingi nimekuwa nikikaa na kuwaza kuhusu hili swala la vijana wengi kuwa na tamaa. Tumekuta vijana wengi wakiwa wanaingia katika wimbi kubwa la majanga na hasa ni tamaa,
Tamaa imefanya vina wengi wakumbwe na majanga mbalimbali kama magonjwa na wengine tunaona wakiwa wanapoteza maisha kwasababu ya tamaa.
Mimi nadhani ni muda sahihi kwa vijana kuacha kutamani/tamaa kwa ujumla kwa maana hakuna kitu kinakuja kiurahisi na wala maisha hayana shortcut.
Tamaa imefanya vina wengi wakumbwe na majanga mbalimbali kama magonjwa na wengine tunaona wakiwa wanapoteza maisha kwasababu ya tamaa.
Mimi nadhani ni muda sahihi kwa vijana kuacha kutamani/tamaa kwa ujumla kwa maana hakuna kitu kinakuja kiurahisi na wala maisha hayana shortcut.