Chanzo kikubwa cha tamaa ya vijana ni maisha wanaoyaona mitandaoni, wao huamini kile wakionacho hata kama hakina uhalisia. Hii imechangia pakubwa mmomonyoko wa maadili katika jamii zetu hapa nchini.
Vijana wajue kuwa maisha ya mitandaoni mengi ni maigizo, no mengine yana uchafu mwingi nyuma yake, wajifunze kulidhika na maisha yao na kujitahidi kuongeza bidii kufikia mafanikio wanayo yatamani. Hakuna short cut katika mchakato wa mafanikio.