Ni nini hasa kinafanya mtu anabadilika mwili na sura haraka..?

Ni nini hasa kinafanya mtu anabadilika mwili na sura haraka..?

Mtambachuo

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2023
Posts
1,907
Reaction score
3,560
Wanabodi imekuwa ni jambo la kawaida kupotezana na mtu
kwa kipindi cha miaka 5 hadi 10, lakini mnapo kutana baadhi wanakuwa wamebadikia sana muonekano
wa sura na mwili kwa ujumla.

Wengine wanakuwa na mvi nyingi, kipara, sura imeanza kuchoka mwili mkubwa ila mwingine anakuwa hana hivyo au vipo kidogo sana na ni watu wa rika moja labda mlisoma pamoja.

Je ni mimi huwa najiuliza maswali hayo au na wewe pia? Sababu inaweza kuwa ni nini wakuu ni hali kijenetiki, kujipata kimaisha, au ni ugumu kwenye harakati za kujitafuta au ni nini hasa?
 
Wanabodi imekuwa ni jambo la kawaida kupoteza na mtu
kwa kipindi cha miaka 5 hadi 10, lakini mnapo kutana baadhi wanakuwa wamebadikia sana muonekano
wa sura na mwili kwa ujumla.

Wengine wanakuwa na mvi nyingi, kipara, sura imeanza kuchoka mwili mkubwa ila mwingine anakuwa hana hivyo au vipo kidogo sana na ni watu wa rika moja labda mlisoma pamoja.

Je ni mimi huwa najiuliza maswali hayo au na wewe pia? Sababu inaweza kuwa ni nini wakuu ni hali kijenetiki, kujipata kimaisha, au ni ugumu kwenye harakati za kujitafuta au ni nini hasa?
Kazi ngumu
Pombe kali
Wanawake wazee
 
Kuna jamaa yangu tuliachana shuleni miaka ishirini iliyopita, jamaa alinicheka nimezeeka sura huku yeye akijicheka kazeeka kichwa, mvi zimejaa tele na mimi sina. Jamaa ana kitambi mi sina. Haya maisha naona ni life style ndizo zinazofanya mtu abadilike kwa haraka, transfiguration
 
Ila hawa vijana wa kisasa wanashangaza zaidi. Unakuta kijana yuko under 40 years ana kipara, kitambi na mvi mpaka kidevuni. Binti wa around 30 years anaonekana ni mama mtu mzima kiasi kwamba baba wa around 40 years anamuona ni mkongwe na hawezi kumuoa akiamini tayari amefikia ukomo wa kuzaa. Watu wa miaka ya nyuma walichelewa kuzeeka, uzee ulianza kuonekana at 70 years old
 
Ila hawa vijana wa kisasa wanashangaza zaidi. Unakuta kijana yuko under 40 years ana kipara, kitambi na mvi mpaka kidevuni. Binti wa around 30 years anaonekana ni mama mtu mzima kiasi kwamba baba wa around 40 years anamuona ni mkongwe na hawezi kumuoa akiamini tayari amefikia ukomo wa kuzaa. Watu wa miaka ya nyuma walichelewa kuzeeka, uzee ulianza kuonekana at 70 years old
Kweli kabisa
 
Kuna jamaa yangu tuliachana shuleni miaka ishirini iliyopita, jamaa alinicheka nimezeeka sura huku yeye akijicheka kazeeka kichwa, mvi zimejaa tele na mimi sina. Jamaa ana kitambi mi sina. Haya maisha naona ni life style ndizo zinazofanya mtu abadilike kwa haraka, transfiguration
Well said brother. This is true
 
Kuna wanaoumwa magonjwa makubwa, kazi ngumu, maugomvi yasiyoisha ya familia, kazini, migogoro ya Ardhi.

Pombe kali bila kula, masomo, kukosa pesa za kumudu maisha, madeni. Mwanamke kubadili wanaume kila mara. Kuendekeza ngono zembe n.k
 
Kula vuzuri, fanya mazoezi , Pata muda wa kupumzika , kama ni mnywaji kunywa pombe kiasi mara chache , jiepushe na migogoro ya familia kama ni mke kaa na mmoja , punguza stress za familia punguza kuwaimpress watu ishi kwa kipato chako. Epuka mikopo kausha damu ,
 
Kuna wanaoumwa magonjwa makubwa, kazi ngumu, maugomvi yasiyoisha ya familia, kazini, ardhi.

Pombe kali bila kula, masomo, kukosa pesa za kumudu maisha. Mwanamke kubadili wanaume kila mara. Kuendekeza ngono zembe n.k
Ardhi ki vipi?
 
Back
Top Bottom