Ni nini hatima ya maelfu ya hotel za kitalii zilizopo jiji la Arusha?

Ni nini hatima ya maelfu ya hotel za kitalii zilizopo jiji la Arusha?

Uuzaji na ubinafsishaji wa mali za wananchi watua huko Kilimanjaro. Kuna kila dalili hali ikawa mbaya kwa wananchi waliojenga mahotel ya Kitalii arusha mjini kwani:

1. Watalii watashuka uwanjani watalala hapo hapo uwanjani na asubuhi wataondokea hapo kwenda National Park.

2. Wakitoka National park watalala hapo hapo uwanjani na kurukia ndege hapo hapo uwanjani.

3. Waarabu wa Loliondo watafurahi kulala airport na kurusha wanyama kwao mwisho wa siku hawatarudi mbugani kuangalia wanyama tena .

4. Hotel hiyo itajengwa eneo la KIA au maza ametenga eneo lake ili hotel iwe yake.

5. Mkataba ni wa miaka mingapi na hotel itakuwa mali ya nani?

6. Ni kweli watu wa kanda ya kaskazini wameshindwa kuendeleza uwanja huo kwa kujenga eneo la nyota tano na maduka?

7. Ni kigezo gani kimetumika kuwapa watu wa oman uwanja huo?

8. Mbunge wa Jimbo la Hai, ameuza uwanja na amesimamia uwanja kuondoka anatarajia kurudi Jimboni kuomba kura 2025?

9. Eneo la Kilimanjaro airport lilikuwa na mgogoro na wamasai na mbunge akawahakikishia kuwa eneo lso liko salama na watarejeshewa? Sasa limetolewa kwa Waarabu?

10. Je kuuzwa kwa Kilimanjaro airport Ngorongoro ipo salama haijauzwa?

11. Maswali ni mengi kuliko majibu ila kiuhalisia Saa100 kwa miaka 2 ameuza kila kitu.

View attachment 2673845
Duh Watalii ndiyo wanaongezeka wewe unasema watapunguwa.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Bado na kwenye misitu. Watanganyika mpaka mtaomba poo safari hii dadeki!

Mnakuja kufundishwa kulima tende 😁😁😁

View attachment 2673886
Tenantendw zao zurinsana. Hakijawahi kushuka thamani, lina virutubishi mwilini kuliko tubfa lolite dunia.

Lina maajabu ya kuwa kila linapokaa linazidi kuwa tamu, linajiongeza thamani lenyewe, haliozi kijinga kama ndizi.

Tena wachaga huko watapiga pesa sana wakianza kyoanda mitende. Kuliko kahawa kuliko Mauwa.

Ni chskula tisha kabisa. Ukipsts tende ukachangsnys na ndizi zako mbili tatu, duh, saa 24 upo energised.
 
Tanzania bado inahitaji sana hotels za nyota5 na hazitoshi
Jinsi hotels zitakavyongezeka ndio watalii watamiminika
Dunia nzima hakuna watalii wanaolala karibu na airport kama hayupo on transit kwa hiyo ondoa shaka hakuna kitu kama hicho
 
Tenantendw zao zurinsana. Hakijawahi kushuka thamani, lina virutubishi mwilini kuliko tubfa lolite dunia.

Lina maajabu ya kuwa kila linapokaa linazidi kuwa tamu, linajiongeza thamani lenyewe, haliozi kijinga kama ndizi.

Tena wachaga huko watapiga pesa sana wakianza kyoanda mitende. Kuliko kahawa kuliko Mauwa.

Ni chskula tisha kabisa. Ukipsts tende ukachangsnys na ndizi zako mbili tatu, duh, saa 24 upo energised.
Unajua hali ya hewa inayofaa kwa kilimo cha tende?
 
Uuzaji na ubinafsishaji wa mali za wananchi watua huko Kilimanjaro. Kuna kila dalili hali ikawa mbaya kwa wananchi waliojenga mahotel ya Kitalii arusha mjini kwani:

1. Watalii watashuka uwanjani watalala hapo hapo uwanjani na asubuhi wataondokea hapo kwenda National Park.

2. Wakitoka National park watalala hapo hapo uwanjani na kurukia ndege hapo hapo uwanjani.

3. Waarabu wa Loliondo watafurahi kulala airport na kurusha wanyama kwao mwisho wa siku hawatarudi mbugani kuangalia wanyama tena .

4. Hotel hiyo itajengwa eneo la KIA au Rais Samia ametenga eneo lake ili hotel iwe yake.

5. Mkataba ni wa miaka mingapi na hotel itakuwa mali ya nani?

6. Ni kweli watu wa kanda ya kaskazini wameshindwa kuendeleza uwanja huo kwa kujenga eneo la nyota tano na maduka?

7. Ni kigezo gani kimetumika kuwapa watu wa oman uwanja huo?

8. Mbunge wa Jimbo la Hai, ameuza uwanja na amesimamia uwanja kuondoka anatarajia kurudi Jimboni kuomba kura 2025?

9. Eneo la Kilimanjaro airport lilikuwa na mgogoro na wamasai na mbunge akawahakikishia kuwa eneo lso liko salama na watarejeshewa? Sasa limetolewa kwa Waarabu?

10. Je kuuzwa kwa Kilimanjaro airport Ngorongoro ipo salama haijauzwa?

11. Maswali ni mengi kuliko majibu ila kiuhalisia Saa100 kwa miaka 2 ameuza kila kitu.

Chaggadema ni laana kwenye hili taifa aisee
 
Uuzaji na ubinafsishaji wa mali za wananchi watua huko Kilimanjaro. Kuna kila dalili hali ikawa mbaya kwa wananchi waliojenga mahotel ya Kitalii arusha mjini kwani:

1. Watalii watashuka uwanjani watalala hapo hapo uwanjani na asubuhi wataondokea hapo kwenda National Park.

2. Wakitoka National park watalala hapo hapo uwanjani na kurukia ndege hapo hapo uwanjani.

3. Waarabu wa Loliondo watafurahi kulala airport na kurusha wanyama kwao mwisho wa siku hawatarudi mbugani kuangalia wanyama tena .

4. Hotel hiyo itajengwa eneo la KIA au Rais Samia ametenga eneo lake ili hotel iwe yake.

5. Mkataba ni wa miaka mingapi na hotel itakuwa mali ya nani?

6. Ni kweli watu wa kanda ya kaskazini wameshindwa kuendeleza uwanja huo kwa kujenga eneo la nyota tano na maduka?

7. Ni kigezo gani kimetumika kuwapa watu wa oman uwanja huo?

8. Mbunge wa Jimbo la Hai, ameuza uwanja na amesimamia uwanja kuondoka anatarajia kurudi Jimboni kuomba kura 2025?

9. Eneo la Kilimanjaro airport lilikuwa na mgogoro na wamasai na mbunge akawahakikishia kuwa eneo lso liko salama na watarejeshewa? Sasa limetolewa kwa Waarabu?

10. Je kuuzwa kwa Kilimanjaro airport Ngorongoro ipo salama haijauzwa?

11. Maswali ni mengi kuliko majibu ila kiuhalisia Saa100 kwa miaka 2 ameuza kila kitu.

1. Watalii hitafitwa huwa hawaji kiholela kuja kujitafitia hotel kama vile sisi tukienda mikoani tukifika tunaanza kusaka lodge.

2. Watalii hupokelewa na wenyeji wao hotelini...

3. Watalii hulazwa mahotelini na kampuni za utalii.

4. Hata hivyo sipendi uwekezaji wa mwarabu, haunaga tija, hawalipi wenyeji mishahara mizuri, wanyanyasaji na wadini
 
Uuzaji na ubinafsishaji wa mali za wananchi watua huko Kilimanjaro. Kuna kila dalili hali ikawa mbaya kwa wananchi waliojenga mahotel ya Kitalii arusha mjini kwani:

1. Watalii watashuka uwanjani watalala hapo hapo uwanjani na asubuhi wataondokea hapo kwenda National Park.

2. Wakitoka National park watalala hapo hapo uwanjani na kurukia ndege hapo hapo uwanjani.

3. Waarabu wa Loliondo watafurahi kulala airport na kurusha wanyama kwao mwisho wa siku hawatarudi mbugani kuangalia wanyama tena .

4. Hotel hiyo itajengwa eneo la KIA au Rais Samia ametenga eneo lake ili hotel iwe yake.

5. Mkataba ni wa miaka mingapi na hotel itakuwa mali ya nani?

6. Ni kweli watu wa kanda ya kaskazini wameshindwa kuendeleza uwanja huo kwa kujenga eneo la nyota tano na maduka?

7. Ni kigezo gani kimetumika kuwapa watu wa oman uwanja huo?

8. Mbunge wa Jimbo la Hai, ameuza uwanja na amesimamia uwanja kuondoka anatarajia kurudi Jimboni kuomba kura 2025?

9. Eneo la Kilimanjaro airport lilikuwa na mgogoro na wamasai na mbunge akawahakikishia kuwa eneo lso liko salama na watarejeshewa? Sasa limetolewa kwa Waarabu?

10. Je kuuzwa kwa Kilimanjaro airport Ngorongoro ipo salama haijauzwa?

11. Maswali ni mengi kuliko majibu ila kiuhalisia Saa100 kwa miaka 2 ameuza kila kitu.

Hii kiwanja haitulii kabisa. Akitoka Jini mahaba anakabidhiwa Jini makata
Wacha tuone huko waarabu wanakotupeleka.
Mwisho Jini Terrorist Linakuja kwa ujinga huu wa Watanzania mtauwawa muishe. Mama akimaliza mda wake anahamia Oman
 
Back
Top Bottom