Ni nini hatma ya Pesa zetu zilizotafunwa na zinazotafunwa na Hawa wabunge 19? Watanzania tumefanywa wajinga kiasi hiki?

Ni nini hatma ya Pesa zetu zilizotafunwa na zinazotafunwa na Hawa wabunge 19? Watanzania tumefanywa wajinga kiasi hiki?

Nimewaza sana hivi sisi watanzania ni wajinga kiasi hiki ,Tunakatwa kodi na Tozo ,tunaishi maisha magumu ili kulisha Wanasiasa ?

Ni takribani miaka 2 sasa tangu wabunge wa CHADEMA wanao daiwa kuingia bungeni kinyume na utaaratibu kuwepo bungeni .

Pesa zetu zinapigwa CHADEMA wamechukua zaidi ya miezi 18 kusikiliza rufaa ya Wabunge hao 19 bila sababu yoyote

Serikali kupitia Bunge iko kimya na kuendelea kulipa hayo mamilioni yanayodaiwa kulipwa kwa Hao wabunge kinyume cha sheria na utaratibu.

Ukiangalia kwa Umakini si CHADEMA wala Serikali yenye Uchungu na Hizi Pesa za Wananchi .

Hivi ni nani wa Kutusaidia sisi Wananchi pesa zetu zisiliwe kijinga hivi ? Maana ukiangalia ni kama maigizo tu ili ifike 2025 .
Pascal Mayalla nadhani huyu mwana lumumba anaweza kujibu hili pasipo kuweka uchama kwenye jibu lake, karibu tafadhali
 
Sentensi ya kwanza imeniumiza sana, why watz tunafanywa mazuzu na watu wachache kuchezea jasho letu?

Wale jamaa wa majani ya maboga wamejisahau sana, wanadhani hii nchi ya bibi yao wanafanya wanavyojisikia, na hawajali wavuja jasho wanaowezesha wao na mavitambi yao watembelee zile v8.

Ipo siku watajuta, lakini itakuwa too late..
Mzee mdee kajisifu ana 10B huko
 
Nimewaza sana hivi sisi watanzania ni wajinga kiasi hiki ,Tunakatwa kodi na Tozo ,tunaishi maisha magumu ili kulisha Wanasiasa ?

Ni takribani miaka 2 sasa tangu wabunge wa CHADEMA wanao daiwa kuingia bungeni kinyume na utaaratibu kuwepo bungeni .

Pesa zetu zinapigwa CHADEMA wamechukua zaidi ya miezi 18 kusikiliza rufaa ya Wabunge hao 19 bila sababu yoyote

Serikali kupitia Bunge iko kimya na kuendelea kulipa hayo mamilioni yanayodaiwa kulipwa kwa Hao wabunge kinyume cha sheria na utaratibu.

Ukiangalia kwa Umakini si CHADEMA wala Serikali yenye Uchungu na Hizi Pesa za Wananchi .

Hivi ni nani wa Kutusaidia sisi Wananchi pesa zetu zisiliwe kijinga hivi ? Maana ukiangalia ni kama maigizo tu ili ifike 2025 .
IMG-20221012-WA0182.jpg
 
Nilimsikia Yule Bibi wakati anawaapisha mawaziri juzi anawaasa kuheshimu viapo vyao na akawasisitiza wanaapa kulinda KATIBA.Yeye hapa amevunja katiba kwa kuwakubali COVID na kuwalipa mshahara.sasa ameapa nini ??na hizi fedha tunapaswa kumdai kutoka kwenye mshahara Wake.
 
Sentensi ya kwanza imeniumiza sana, why watz tunafanywa mazuzu na watu wachache kuchezea jasho letu?

Wale jamaa wa majani ya maboga wamejisahau sana, wanadhani hii nchi ya bibi yao wanafanya wanavyojisikia, na hawajali wavuja jasho wanaowezesha wao na mavitambi yao watembelee zile v8.

Ipo siku watajuta, lakini itakuwa too late..
Naona CHADEMA kimyaaa
 
Back
Top Bottom