Kwani alivyotoa za kwenda kuishangilia Yanga Afrika Kusini matokeo yalikuwaje?Miezi michache iliyopita Rais alitoa tiketi 20k bure kwa ajili ya mashabiki kwenda kuishangalia Taifa Stars vs. Uganda matokeo yake tulipigwa.
Jana katoa tena tiketi 5k bure kwa mashabiki kwenda kuishangilia Yanga vs. USM Alger. Je, historia itajirudia?
Kila kwenye mafanikio anataka atajwe [emoji23]Uyo saa 100 anatafuta uungwaj mkono 2025 anatumia mbinu za kitoto sana nchii maskini kama hii si angesaidia vijana wanateseka kupata mitaji ata wachache abgabarikiwa kuliko anachokifanya
Na bado, ile kauli ya "Dua la kuku halimpati mwewe" rasmi itaenda kudhihirikia kwako [emoji38]Napo watapigwa kama ngoma [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale waarabu ni balaa nawajua vemaNa bado, ile kauli ya "Dua la kuku halimpati mwewe" rasmi itaenda kudhihirikia kwako [emoji38]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Uyo saa 100 anatafuta uungwaj mkono 2025 anatumia mbinu za kitoto sana nchii maskini kama hii si angesaidia vijana wanateseka kupata mitaji ata wachache abgabarikiwa kuliko anachokifanya
Acha kuifananisha Yanga na hicho kichwa chako cha mwendawazimu.Miezi michache iliyopita Rais alitoa tiketi 20k bure kwa ajili ya mashabiki kwenda kuishangalia Taifa Stars vs. Uganda matokeo yake tulipigwa.
Jana katoa tena tiketi 5k bure kwa mashabiki kwenda kuishangilia Yanga vs. USM Alger. Je, historia itajirudia?
Kwani teketi 5000 za shilingi 5000 Kila moja zinagharimu kiasi gani? Mbona hata Afisa elimu mkoa anaweza kutoa kutokana na posho za uendeshaji mitihani kwenye mkoa wake? Mil.25 kutolewa na Rais imekuwa Jambo kuuuubwa kweli?Uyo saa 100 anatafuta uungwaj mkono 2025 anatumia mbinu za kitoto sana nchii maskini kama hii si angesaidia vijana wanateseka kupata mitaji ata wachache abgabarikiwa kuliko anachokifanya
Uyo saa 100 anatafuta uungwaj mkono 2025 anatumia mbinu za kitoto sana nchii maskini kama hii si angesaidia vijana wanateseka kupata mitaji ata wachache abgabarikiwa kuliko anachokifanya
Acha wivuUyo saa 100 anatafuta uungwaj mkono 2025 anatumia mbinu za kitoto sana nchii maskini kama hii si angesaidia vijana wanateseka kupata mitaji ata wachache abgabarikiwa kuliko anachokifanya
Kweli tunaliona ni jambo kuuuuubwa kama hili kombe la "caf losers cup' .Kwani teketi 5000 za shilingi 5000 Kila moja zinagharimu kiasi gani? Mbona hata Afisa elimu mkoa anaweza kutoa kutokana na posho za uendeshaji mitihani kwenye mkoa wake? Mil.25 kutolewa na Rais imekuwa Jambo kuuuubwa kweli?
Siyo kila pesa ya serikali lazima iende kwenye mikopo ndugu yanguUyo saa 100 anatafuta uungwaj mkono 2025 anatumia mbinu za kitoto sana nchii maskini kama hii si angesaidia vijana wanateseka kupata mitaji ata wachache abgabarikiwa kuliko anachokifanya
As long as mateso umeyataka mwenyewe hatuna la kukusaidiaKweli tunaliona ni jambo kuuuuubwa kama hili kombe la "caf losers cup' .
Na raisi alivyoongeza dau kutoka goli moja mil 5 mpaka goli moja mil 10 makolo wakaenda kupigwaaaMiezi michache iliyopita Rais alitoa tiketi 20k bure kwa ajili ya mashabiki kwenda kuishangalia Taifa Stars vs. Uganda matokeo yake tulipigwa.
Jana katoa tena tiketi 5k bure kwa mashabiki kwenda kuishangilia Yanga vs. USM Alger. Je, historia itajirudia?