Ni nini kiliwashinda UKAWA kwenda mahakani?

Ni nini kiliwashinda UKAWA kwenda mahakani?

Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.
Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki. Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Pombe na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.
Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.
Swali langu ni kwa nini Ukawa hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20170901-WA0004.jpg
Unakiona hicho kifungu?Uwe unajielimisha kwanza kabla ya kuzungumza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katiba hairuhusu kwenda mahakamani kupinga matokeo ya Urais, pili Tanzania hakuna mahakama ya juu, labda rasimu ya warioba ipitishwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.

Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki.

Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Magufuli na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.

Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.

Swali langu ni kwa nini UKAWA hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili swali lako linaonesha ni jinsi gani usivyoijua katiba ya Tanzania na yakuwa kwamba si mfuatiliaji wa mambo ya nchi bali ni mshabiki wa kinachoandikwa mitandaoni.
 
Wakati mwingine mtu unapaswa kuficha ujinga wako kwa kutosema sema hovyo. Ona sasa unavyoaibika. Au wewe siyo mtanzania hujui hata katiba inasemaje
 
Katiba inasema rais akishatangazwa na NEC ndo stori imeisha hapo, ni katiba mbovu sana hii! Chadema wakianzisha mapambano kutaka ya rasimu ya warioba nitawaumga mkono na ndio silaha pekee ya wao kuitumia! Kupinga ufisadi walishaipoteza kwa kumkaribisha lowassa.
Katiba ya kidikteta sana
 
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.

Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki.

Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Magufuli na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.

Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.

Swali langu ni kwa nini UKAWA hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mahakamani kufanya nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya kupinga ushindi wa Kenyatta nikaona jinsi haki inavyojidhihirisha mahakamani.

Nimelinganisha utendaji wa mahakama za Kenya na za hapa kwetu nikaona hakuna utofauti wowote linapokuja suala la kutoa hukumu/haki.

Waliotangaza ushindi wa Kenyatta ni majaji sawa kabisa na waliotangaza ushindi wa Magufuli na Shein. Waliotengua ushindi wa Kenyatta ni majaji wenye profession sawa kabisa na waliotengua ushindi wa Maalimu Seif.

Tofauti ni kuwa Nasa wameonyesha uzalendo kwa kuziamini mahakama zao na UKAWA wakawaamini wazungu ambao bado wanaendelea na upelelezi.

Swali langu ni kwa nini UKAWA hawakwenda Mahakani ikiwa walikuwa na ushahidi sana na waliokuwa nao CCM Longido na CHADEMA kule Bunda?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukitaka ujue sirikale ni ya kuviziavizia hebu sema kama alivosema kimambi kuhusu katiba mpya.
Utaona utavoviziwa wakunyake.

ila kimambe ananyima ucngizi watuflani mh![emoji196] [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katiba inasema rais akishatangazwa na NEC ndo stori imeisha hapo, ni katiba mbovu sana hii! Chadema wakianzisha mapambano kutaka ya rasimu ya warioba nitawaumga mkono na ndio silaha pekee ya wao kuitumia! Kupinga ufisadi walishaipoteza kwa kumkaribisha lowassa.
Kama c lowassa ulitegemea nan angeifikisha cdm ilipo fika we[emoji84] [emoji780]
Je CDM imeloos au imegain[emoji780]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom