Kuna mtumishi mwenzangu huwa anaamini Gwajima ni mtu mwenye elimu ya juu sanamaneno ya vikao vya maadili yanamgusa moyoniii kidogo kidogoo analegeeeaa ....d.. imemuingia
Akizingua atafutiwa leseni na serikali.lazima awaze.Pia yawezekana alionywa kwenye kamati ya maadili.Anatafakari alivyoenda kinyume na serikali.
Wana vyuo vya matapeli wenzao vinawatunuku PhD.Kuna mtumishi mwenzangu huwa anaamini Gwajima ni mtu mwenye elimu ya juu sana
tunaangalia live on youtube askofu Gwajima anahubiri
nashangaa sana Askofu anahubiri kwa upole sana,kwa uangalifu sana,je Askofu ni mgonjwa???
nafikri Gwajima ana matatizo kutokana na uwezo wangu wa kuangalia mambo
na huko ccm alifata nini?alikuwa mwanaharakati wakati wa Dr Slaa
aliifata ccm ili atimize lile neno linalosema if you dont beat them join them???ana mambo mengi ya siri moyoni mwake
je ccm wameshamweka kati???time will tell
Kwa hiyo ukiongea kama msukuma unakuwa huna elimu ya juu? Unataka aongee kama mwingeleza au siyo?! LunaticHana elimu ya juu ndio maana anaongea kama Msukuma. (Mbunge) Hajui kumkashifu mtu kwa kutumia busara, angalia wakati wa Makonda na yule askofu wa Kanisa kubwa.
Kanisa lenyewe limesajiliwa kama NGO tu, utapeli mtupu.Akizingua atafutiwa leseni na serikali.lazima awaze.Pia yawezekana alionywa kwenye kamati ya maadili.