Ni nini kimempata Askofu Gwajima?

Ni nini kimempata Askofu Gwajima?

Itakua ameona demu mpya sasa anaigiza ustaarabu ili ang'oe goma akalichakate kama kawaida alaf asingizie mkono wa baunsa
Akalichakate!??....😳🙄 Msamiati mpya huu ?
 
tunaangalia live on youtube askofu Gwajima anahubiri
nashangaa sana Askofu anahubiri kwa upole sana,kwa uangalifu sana,je Askofu ni mgonjwa???
nafikri Gwajima ana matatizo kutokana na uwezo wangu wa kuangalia mambo
na huko ccm alifata nini?alikuwa mwanaharakati wakati wa Dr Slaa
aliifata ccm ili atimize lile neno linalosema if you dont beat them join them???ana mambo mengi ya siri moyoni mwake
je ccm wameshamweka kati???time will tell
Mkuu rosemarie , naunga mkono hoja, hakuna chochote kilichompata, wala haumwi chochote, bali atakuwa ni yeye tuu mwenyewe baada ya kusoma haya mabandiko matatu humu jf,

Sasa atakuwa ameshika adabu yake, na adabu imemshika, na amebakiza jambo moja tuu hili la mwisho #COVID19 - Visions & Trends Readings: Unaweza Usiamini Hili, "Namuona Baba Askofu Mpinga Chanjo, Ukichanjwa Chanjo ya Corona!"

Na hii sio tuu kwa Samia, tangu enzi za JPM, angalizo la "if you can't beat them, join them, tulilitoa.
Watu walisali, na Mungu akajibu maombi.

P.
 
Kashaminywa p.umbu na ze gavamenti
Government siyo ya kuchezea kama upo kwenye nyumba ya vioo! Kuna watu career yao ni kudeal na government, ni wanasiasa haswaa, ndiyo hawa akina Lissu na Mbowe, waachiwe wafanye kazi yao, na mkate wao wanaupatia hukohuko pia! Tatizo la Rashid ni kujifanya anajua kila kitu kama pal wake marehemu
 
Mtaaalam wa power play wa Samia hatari sana ..
Wamemtuliza Gwajima kirahisi mno..

Pascal Mayalla
Mother hata hatumii nguvu, and ana moyo mkubwa mnoo, Kwa yale aliyokuwa anaongea Gwaji kiongozi mwingine angepaniki, ila yeye alipiga kimya, mwisho wa siku Gwaji mwenyewe kajishtukia, the same thing kitatokea Kwa huyu Polepole na darasa lake la kinafiki
 
Government siyo ya kuchezea kama upo kwenye nyumba ya vioo! Kuna watu career yao ni kudeal na government, ni wanasiasa haswaa, ndiyo hawa akina Lissu na Mbowe, waachiwe wafanye kazi yao, na mkate wao wanaupatia hukohuko pia! Tatizo la Rashid ni kujifanya anajua kila kitu kama pal wake marehemu
Serikali kiboko

Ova
 
Askofu alisema anafunga mjadala tuletee mada kama msimamo wake umebadilika.
Njoo utuambie kuwa Askofu kaenda kanisani kwake kawaambia waumini wake waende wakachanjwe.
Askofu kasema ukimchokaza na yeye anawasha Moto.
Na sisi tunashangaa kuona Waziri wa AFYA na Naibu wake wapo kimya wameacha maneno ya kushambulia Askofu kwa Gwajima kwa nini
Au na wao wamepigwa biti kumtaja Gwajima
 
tunaangalia live on youtube askofu Gwajima anahubiri
nashangaa sana Askofu anahubiri kwa upole sana,kwa uangalifu sana,je Askofu ni mgonjwa???
nafikri Gwajima ana matatizo kutokana na uwezo wangu wa kuangalia mambo
na huko ccm alifata nini?alikuwa mwanaharakati wakati wa Dr Slaa
aliifata ccm ili atimize lile neno linalosema if you dont beat them join them???ana mambo mengi ya siri moyoni mwake
je ccm wameshamweka kati???time will tell

Hana lolote jinga hilo, anawaza aibu ya mchepuko wake iko hadharani.
 
Sasa mnataka kila siku ahubiri habari za chanjo? 😁
 
Ila ndani ya maccm bado kunafuka moshi na wakati wowote ule moto utalipuka. Ngoja tuone mabadiliko mengine ya Baraza la Mawaziri kwa sababu Chifu Hang ya alitwambia aliweka koma na siyo nukta. Je, atawaondoa wale wa kumuenzi dhalimu mwendazake?
Mtaaalam wa power play wa Samia hatari sana ..
Wamemtuliza Gwajima kirahisi mno..

Pascal Mayalla
 
Ila ndani ya maccm bado kunafuka moshi na wakati wowote ule moto utalipuka. Ngoja tuone mabadiliko mengine ya Baraza la Mawaziri kwa sababu Chifu Hang ya alitwambia aliweka koma na siyo nukta. Je, atawaondoa wale wa kumuenzi dhalimu mwendazake?


Hakuna cha moshi wala moto..

Wote wanakaa kwa adabu..
Ujumbe wameupata wote..
Chamurio kapigwa chini.
kalemani mbunge wa chato kapigwa chini..

Wote wanaishia kwa adabu sasa..
Mama ana total control
 
dont take chiddy Boy very serious, he is the master of confusions .... ni mfanyabiashara wa kimataifa ambaye kama wafanyabiashara wengine lazima aendane na soko....

Huyu jamaa alishawahi kuwa mshenga kwa kuwauzia mgombea uraisi fulani chama fulani na kumzunguka mtumishi mwenzie...akapenya mpaka leo amekuwa MP kama sio mapenzi ya Mungu kutimia angeweza kuwa hata minister....
Akajaribu kuongeza kasi mchezoni lakini naona viungo wakabaji wa timu hii wamemtuliza..
 
Back
Top Bottom