Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Hivi Tanzania ya Magufuli inafanya industrialisation au inaua viwanda?mzee unasema unafuatilia budget za hizi nchi mbili unashindwa jua vitu basic hivyo..makampuni mengi ya bidhaa za chakula yapo kenya toka zamani...ndo maana Mzee baba magufuri anapush ili tuweze industrialize zaidi nchi.